Wana JF, kwa wewe umbae unaweza kupenyeza ushauri kwa mamlaka husika, washauri wafanye yafuatayo:
Waongeze mashine ktk kila kituo japo zwe 5 na wahudumu watano.
Wawasimamie na kuwaongoza kwa karibu zaidi wale makarani.
Maofisa watendajimna weneyeviti wawe karibu na rai ktk kila kituo mtaani...
Wana JF, kuanzia Februari had June nililima vitunguu na kuvuna katikati ya mwezi uliopita. Nililima katika kijiji cha Nyanzwa ambacho ni kilometa 58 kutoka Ruaha Mbuyuni ukielekea Iringa.
Kule nilisimuliwa mambo mengi na moja ambalo lilinistua ni kuambiwa kwamba watoto wa kike ambao wanasoma...
Wana JF,
Kuanzia Februari had June nililima vitunguu na kuvuna katikati ya mwezi uliopita. Nililima katika kijiji cha Nyanzwa ambacho ni kilometa 58 kutoka Ruaha Mbuyuni ukielekea Iringa.
Kule nilisimuliwa mambo mengi na moja ambalo lilinishtua ni kuambiwa kwamba watoto wa kike ambao...
Wana JF,
Kuna ekari 50 za kijiji cha Kivinja B zinauzwa zote kwa Shs. 20,000,000/= tu. Anayetaka awasiliane nami: terabojo@gmail.com Ukiafikiana na uongozi wa kijiji utalipa kupitia katknakaunta ya kijiji katika tawi lolote la NMB.
Mwambie na mwingine.
Wana Jamiiforum, kama wiki mbili zilizopita nilibahatika kusoma habari za padri wa kanisa katoliki huko Bukoba. Kifupi alipelekwa Muhimbili na akalazwa ICU kwa ugonjwa wa kisukati na figo. Wakati anatayarishwa kupelekwa India akapata habari za kuwepo tabibu wa kisuka kwa jina la Dr John Kidua...
Wanaq JF ninauza plot za ukubwa wa 20X50 ktk kijiji cha Kivinja B/Mkenda - ni 9KM kutoka Jaribu mpakani. Ukilipa unatambulishwa kwa serikali ya kijiji.
Bei a plain 1.5 million.
Karibu
0787488922
Kanyabwoya Hiyo. Dawa usitume pesa hata chapa. Muajiri hasa atakuita ktk interview ofisini kwake tu. Ndo taabu ya technology, si kosa la zoom. Kuweni makini
Two thirds Zanzibar haipatikani. So no katiba. wacha jioni niende mji mkonge nikapate mix na juice. Ndio dinner yetu huku kwetu. wapi utapata pesa ya msosi kama sio fisadi.
Allah atatufanyia wepesi Inshaalah.:angry:
Mantiki ya kupiga kura ni kuwezesha kufahamu wangapi wanaunga mkono na wangapi hawaungi mkono hiyo rassimu. . Wengine watasema ndio wengine hapana. Sasa kuwahoji inahusu nini au ndo lugha ya kisasa ya "kulazimisha" ili wabadili msimamo. SITTA umechelewa. Uliambiwa ukakaidi. Utawambia nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.