Futi? Huu ujinga mmepanga kuwadanganya wasioenda shule ili figure ionekane kubwa. Madalali wa aina hii wapo wengi sana mitaa ya huko. Huwez kukut maeneo ya Goba. Bweni au madale anata gaza kiwanja kwa futi
Kuna jamaa yangu mwaka jana alipata kazi kampuni kubwa sana alinipa story yake nilishangaa sana.
Ananambia katika maisha yake mama yake alimuaminisha kwamba baba yake ni mbaya mpaka ikafikia hatua baba akawa anakosa ujasiri wa kumshauri au kumwambia chochote jamaa. Lkn nyuma ya pazia kumbe...
Nitamuhudumia na kujitahidi kadri niwezavyo nimuwezeshe ki elimu na ki uchumi. Aidha kwa yeye kutokujua au kwa kujua. Akikua badaye na kuona mimi sifai wala I don't care as long as nimetimiza wajibu wangu hata nikirudi kwa Mungu narudi nikiwa nimenawa.
Bahati nzuri nowadays tunawasaidia watoto...
Mtoto wa Mwigulu yupo anatembea na baba yake jimboni anasema mama anaupiga mwingi. Hii nchi siku mkijua mifumo ndo tatizo mtaanza kupiga kura kuwakataa hawa wazandiki.
Dogo bado uko chuo umekata tamaa kwa sababu unaona kabisa huwez kupata ajira kwa sababu ya ajira za kubebana. Pole
Msiibe kura sasa 2025 ili wananchi wawaoneshe jinsi wao wanajua maendeleo sio nyie keybod worriers.
Kitu usichokijua ni kuwa msipoiba kura hata huyo mama yenu anarudi Kizimkazi
Defence ya Chelsea ni mbovu kuliko geti la makuti. Mimi sijawahi kumuamini Disasi. Beki mzito kama kafungwa mawe, hawez kutoa majukumu kwa beki zake. Hana control ya mpira.
Mbaya zaidi hizi beki yaani Disasi, Badiashile na ndugu yao Chalobah sio wazuri kwenye kupiga vichwa. Yani kona 12 hakuna...
Usichopenda kujua ni kwamba hao ji wavaa cobaz wenzako. Sisi tunawatetea tu kama binadamu wenzetu na dini yetu inatufundisha kupenda kila mtu bila kujali imani yake
Ritz Njoo uwaone wenzio. Hii dini yenu inakuja na mapepo ndani yake basi hata mwenye akili naye zinaruka ghafla. Huko Masjid huwa mnakaririshwa vitu gani
Ona sasa msomi wa madrasa. Mimi nimeandika Mumnyonge wewe umeandika Mumunyonge. Hata kusoma na kunakili kilichoandikwa nacho ni kazi. Soma taratibu bila kulia alaf uandike tena nilichoandika mimi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.