Siamini inawezekana hauna vyote hivyo au unavyo lakini unachagua kazi. You have everything and yet you have nothing. Unaweza ukawa hata private consultant kijana usisubiri Kukaa "behind the table". Umepewa elimu jiajiri. Nenda kawe hata Bank Teller. Au njo nikuajiri.......
I think you need programmers and/or software engeneers. Re-type you heading and post it again. Android and iOS are written by programming languages. And you will receive much more replies if you post your Ad focusing on programmers....
Kazi nitafute mimi, kulipia nilipie. Hivi mpo serious ninyi? Kwanza hamjatoa mawasiliano yoyoye mnajua kuwa watu wapo desperate na kupata kazi mntaka kuwa exploit kutumia hiyo weekness, Mimi sijawahi sikia, Kuna recruitment agency kama Delloite, Radar hawacharge wala nini. Hebu kama mpo makini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.