Fundi muashi atashangaza sana watu pale ambapo atatumia lugha ambayo atashindwa kuelewana na vibarua na wafanyakazi wake katika ujenzi. lakini ufanisi wa kazi ambao unategemea sana mawasiliano murua utakamilika pale fundi huyu atakapokuwa anatumia lugha ya nyumbani, ambayo vibarua watamuelewa...
Mara nyingi zikitangazwa kazi waajiri wanapenda sana kupata watu wenye uzoefu, ndo maana matangazo mengi yanaelekeza mwombaji awe na uzowefu wa muda fulani.
Hivo hivo mjenzi yoyote pia lazima atafute fundi mwenye uzowefu maana mzoefu lazima atakuwa amewiva katika fani na anazijua mbinu na...
Sioni kama ni tatizo pale Fundi Muashi anapoamua kutumia jiwe kujengea ukuta ambalo kwenye msingi aliona halifai, kwa manguli wa wajenzi wataungana na mie katika hili.
jiwe lilionekana kutofaa kwenye msingi linaweza kufaa kwenye ukuta, sasa utashangaza watu wakianza kumtangazia fundi huyu...
RIP PETER rafiki na College Mate
hata kama tulikuwa tunashindana/kupisha kwa hoja, lakini safari yako umeimaliza na tutakukumbuka sana. waafrika tuna utamatuni wa kuheshimu waliomaliza safari yao, kwa wanaoendelea kukubeza ni utovu wa utamaduni wetu na siasa za upofu.
Fundi Muashi yupo juu ya ukuta hata ANAMU hajafika, kasimama na ngazi, kashika mkono bawa na beseni la tope limeshakwisha mota. Vibarua na wasaidizi wa fundi wapo chini wamekaa wanabishana na kukosoa tu.... "fundi kapindisha ukuta...." .....hapanaaa amegeuza tofali.." hapana amezidisha mota...!"...
URAIS WA NINI KWANZA MTOA HOJA ATUWEKE WAZI
maana kuna rais wa Manzese, kuna Rais wa MCB, kuna Rais kila kona,,,. ingekuwa 2020 imefika nisingeuliza hili swali.
Tukiacha ushabiki, kila mtu hawezi kubisha kwamba kasi ya usimamizi na utekelezaji wa shughuli na sera anazofanya Mh. JPM kwa sasa, na akipata Katiba Mpya tena ile ya Warioba akaisamia haswaaa, kwa kweli tutafika mbali,
sifa kuu tatu za JPM zinazonifanya niseme haya ni pamoja na
1. Kuweza...
SOMO: katika chaguzi Ukiona mgombea anaetetea nafasi yake analalamika kwamba wale wagombea wapya wanamzidi kete. UJUE TUME YA UCHAGUZI NI HURU NA INATENDA HAKI. Pole mama Banda a.k.a JB huo ni Mtazamo wangu!
Taifa lolote duniani linapopatwa na majanga na dharula serikali yake inapaswa kusimamia kifua mbele. Tanzania tumepatwa na ugonjwa wa Dengue ambapo serikali katika kutimiza jukumu lake la kukinga na kuzuia maambukizi yasiwapate watanzania ikabidi kuamuru mabasi yote yanayoenda mikoani kupuliziwa...
Pole kwa Matatizo.
pamoja na majibu mazuri uliyopata tembelea blogu hii Hussein Sengu! | HAKI ZA WANAWAKE NA WATOTO NI HAKI ZA BINADAMU
katika blogu hiyo masuala ya mirathi na utaratibu wake kisheria yamechambuliwa.
pia fika katika vituo vya msaada wa kisheria vya;
1. Kituo cha sheria na haki za...
Viti maalumu kwa tafsiri rahisi kabisa ni mpango mahsudi ambao unalenga kuwajengea uwezo kundi maalumu katika kushika nafasi mbalimbali katika ngazi ya maamuzi na uongozi.
mpango huo unalenga sana katika kupunguza na kutokomeza dhana za ukandamizaji wa kijinsia na makundi maalumu kwa kuwapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.