Kwa JINSI niwajuwavyo cuf Si Watu wa kurubuniwa ovyo ovyo na ikitokea aka tokea msaliti huwenda akahama na Huko anakoishi ili awe mkimbizi kwingineko maana wale Watu wanajitambua Kweli na haki zap.na cam kulazimisha mambo na kutaka kununua watu kutatuletea majanga makubwa nchi hii hadi vizazi...
Nakushauri usome kwanza vizuri ili uwe na uwanja mkubwa zaidi wa Ajira maana ukishakuwa na elimu nzuri unakuwa na uhakika na kazi zitakuwa ni za kuchagua mwenyewe na hasa ukizingatitia kwa sasa pengine hujawa na majukumu mengi Kama sisi .
Pamoja na jitihada zoote hizo Lazima rasimu hii tuikatae kwa nguvu zetu zoote hata Kama fedha zetu zimeliwa bure Lkn ni bora kuliko dharau hii ya halinya juu iliyoonyeshwa na Mr.7 na pia namshangaa Sana Yule bana wa kujificha kwa unafiki mkubwa aliounyezha na kamati yake ya uongozi japonyana...
Mtu alelewavyo ndivyo akuavyo mkuu kama wewe uko humu kundini na unafurahia Sana kuwemo ila hupendi make wako awemo maana yake na wewe hauko sehemu Sahihi hivyo badilika kwanza wewe maana wewe ndo kichwa cha nyumba.
Katiba ya nchi haisemi Kama Kibali cha maandamano kitolewe na police huo ni umbumbumbu mkubwa wa sheria.police wanatakiwa kupewa taharifa tu ili waimarishe na Si vinginevyo.amka mtanzania.
Aluta continue sasa ndo kumekucha jeshi la police kwa kutotumia Akili lampandisha chart freeman Mbowe ili Mwakani cam ianguke kifo cha Mende ha ha haaaaaa.
Hiyo hela sio ndogo na wala siyo nyingi sana cha msingi Kama hujajuwa nini chakuifanyia tafuta watalam wa ujasilia Mali wakupe makati JINSI ya kuitumia hiyo hadi ikitoe kimaisha.kikubwa ni nichamu tu juu ya matumizi ya hela.
Kusema ukweli GVT hospital ni majanga matupu bila Shaka nchi hii inahitaji mageuzi ya Hali ya juu Sana.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na waliosababisa kifo chake walaaniwe.
Hiyo ni Akili mgando angalieni historia mmesahau kwamba kilishaongozwa na hata wasukuma? sio kuleta Mawazo ya ukabila na Ukanda ni Simu mbaya Sana .napa ni kuangalia uwezo wa mtu tu basi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.