Hao watu wa tanecu na mameneja wa ghala mumewauliza sababu ya kukataliwa? Kwenye maghala makuu watu wa amcos wanashirikishwa kwenye vipimo vyote na wanajua zikiwa hazina ubora wanashiriki na kujua tatizo mini.
Mkuu umeandika vizuri sana na nimesoma kwa imani ya kupata baadhi ya maswali ambayo ndio ya msingi sana,kwa bahati mbaya haikuwa hivyo.
1- RC alisoma certificate kwa qualification gani?
2- RC ndiye Bashite? na kama kweli ndiye yeye sio lazima aseme sababu za kiapo cha kubadili jina, lakini...
Mtuhumiwa ni mtu anaitwa Daudi Albert Bashite. Hakuna aliyeuza cheti ila Bashite anadaiwa alitumia cheti cha Paul Christian Malanja ili apate qualification za kuingia chuo cha Mbegani ,kwa msaada wa dada Crispina Mgera Malanja bila mwenye cheti kujua. hizo ni tuhuma ambazo zinatakiwa kujibiwa...
hili ndio tatizo, anayetuhumiwa hajasema chochote mnaanza kutoa mifano juu ya mifano. tusubiri akanushe au aseme chochote ndio tunaomtetea tukae nyuma ya hoja zake.
Udharirishwaji sio lazima mtu akuvue nguo, hata hiki kitendo cha DC ni udharirishaji. Yaani vitambulisho vya hao walimu viende akavisaini yeye halafu lazima wavivae katika muda uliotakiwa usumbufu wote huo ni wasilipe nauri tu!!!
Kwanini asiwape posho za nauli kama anataka kuonekana kuliko...
Hakuna mtu anayemtetea mtu ila tunajaribu kutumia akili zetu kufikiria,sio kushabikia kila kitu. mtu anashindwa kusoma maelezo akayaelewa anasoma stori ya watu tisa iliyowekwa kama mfano wa jinsi mleta uzi anavyotunga stori isiyoingia akilini.
Nadhani ni utoto zaidi kushabikia stori za kutunga.
Inashangaza sana huwa tunashabikia vitu bila kufikiri pande zote mbili (uwezekano wa ukweli au uongo) nini uhusiano wa mleta uzi kwa sasa na Oil com ? hatudhani kwamba kuna conflict na ndio maana anawashamburia? hebu na mimi nijalibu kuweka uzoefu wangu kidogo hapa tupime au kujadili kwa hoja...
Mugisher
Mbona hueleweki mkuu, umesema hajashinda kesi basi usimpelekee kesi yako peleka kwa wengine
Msomi kwako ni yupi? mtu mwenye msimamo kwako ni yupi? nimetafuta neno zuri lisiwe tusi nadhani kutoeleweka ni sahihi.
Unless unataka ushabiki au chuki binafsi na Tundi Lisu.
1-Dr Slaa alimtaja Gwajima kwamba amesema maaskofu wamehongwa, ulitaka hilo asilijibu?
Amjibu kwamba sio kweli.
2-Slaa alisema sababu ya yeye kuondoka ni ujio wa Lowasa na Gwajima akiwa mchenga, hilo amejibu
Sababu ni hawara wa slaa alimwambia asirudi chadema. tutaamini vipi maneno ya...
Hebu tuzane kwa wanaojua sheria za uchaguzi,
Dr Magufuli akiwa Tanga kwenye kampeni, aliagiza akisema kama waziri wa ujenzi.
kuanzia sasa wazee na wanafunzi wenye sare wasilipe yaani wavuke bure. Je hiyo sio rushwa? au imekaaje kisheria.
Japo husemi tumchague nani, lakini kwanini usitumie the same maandiko kuelezea mazuri ya unayemuunga mkono?
Rais atapatikana kwa wingi wa kura na sio vinginevyo. I think mnampaisha Lowasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.