Ajali kama hii iliyokatisha maisha ya Regia Mtema, si mpango wa Mungu. Ni dhambi kubwa kusema kwamba huu ni mpango wa Mungu. Kama barabara ya kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, ingekuwa ni ya njia nne, ajali kama hii ya Regia Mtema na nyingine nyingi zinazotokea kila wakati kwenye barabara hii...
Pengine unabidi ujiulize kwa nini CDM hawajibu baadhi ya hoja za baadhi ya wanaCCM. Mimi ninafikiria kisiasa zaidi badala ya watu kuwa kwenye payroll za watu. ninamanisha ni mtaji wa kisiasa, kwani kuna baadhi ya watu wakipishwa kugombea Uraisi itakuwa rahisi kwa vyama vingeni kupata kura nyingi...
Mimi ninafikiri kwa CV yake niliyoiona, uwezo wa kuongoza anao. Nafikiri kama aweza kuongoza baadhi ya tasisi kwa mafanikio basi ni vizuri tumpe muda wa kufanya kazi na kuona kama ataweza kutatua matatizo sugu yanayoikabili Muhimbili ambayo kila mtu anayajua na hayahitaji miujiza. Cha msingi...
Nafikiri kila ndoa ina mambo yake mazuri na mabaya. Ndoa moja si sawa na nyingine, cha msingi ni kuelewa udhaifu wa mwenzio na kuufanyia kazi.
Kihistoria wanadoa wametoka sehemu mbili tofauti, malezi tofauti, hivyo wanapokuwa pamoja ni muhimu kumuelewa mwenzi wako na kujifunza zaidi , kumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.