pole kwa yatakayokukuta ukitandikwa pia uje utuambie maana kila kukicha wanaume wa kenya hulalama kua unyumba hawapewi sasa sijui kama utaridhia hali hii.
ni kweli mla huliwa kwani walichukua vingi na pia walifanya vingi jambo la kusikitisha ni kua wakoloni pamoja na ubaya wao walijenga reli wakaleta meli shule hosipitali siwapongezi kwa wizi wao ila miaka 50 hamsini ya uhuru hata nusu ya walivyofanya ingawa hapa sio kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.