Kichwa cha habari kinasema waandishi wa habari wahojiwa na vyombo vya dola wakati habari yenyewe inasema wamehojiwa na polisi! Ina maana hata Takukuru, Magereza na uhamiaji waliwahoji hao waandishi?
Kama mtu una busara na unaweza kutumia akili vizuri kuwasiliana na watu ni jambo la kushukuru sana. Busara ni kama utajiri sio kila mtu lazima awe nayo.
Watu kama hao ndio wanaoendeleza uongo kumhusu Nyerere. Sifa anazopewa Nyerere nyingi ni za uongo kwa sababu kipindi cha utawala wake hakukuwa na demokrasia ya watu kuwa na mawazo tofauti na yake kwa hiyo hata vyombo vya habari viliandika yanayomsifu.
Hivi polisi ambao ni failure wanaweza kumuhoji msomi Lissu au wanapokea maelekezo kutoka lumumba tu? Wakimpeleka mahakamani wataishia kuumbuka kwa sababu ya uzuzu wao.
Wabunge wa chadema karibu wote wameshawekwa sero lakini hawachoki kuwakemea mafisadi ya ccm wanaojifanya wazalendo. Lijuakali alishawapa kipondo polisi na akafungwa lakini hakuna bado yuko vile vile. Wabunge wa upinzani sio sawa na wa ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.