Leonardo Da Vinci said, history is always written by the winner. Kwenye falsafa yake alikuwa na mtazamo kama huu wa Hermonize, kwamba Macho society took everything from a woman and labelled her as an unintelligent weak creature.
Refer to the bible, where were Maria after the death of her son...
Anayetoa ushauri wa kuuzwa kwa Rodrygo achungunzwe labda kachukua rushwa. Rodrygo ni decision maker, tumestrugle miaka kibao kutafuta striker, I don't know. Labda maPundits mtuelezee.
Rumour has it. Lakini mi naona dogo hana cha kuprove, aletwe tu apige mabao. Media nyingine zinadai huenda Rodrygo akatiwa sokoni kitu ambacho mi siwezi kusuport hata siku moja.
Dogo Endrick katupia tena leo. 2 games and 2 goals akiwa kwenye National team. Inaelekea msimu ujao tutakuwa na safu ya ushambuliaji yenye akili, yaani pale mbele tutakuwa na Brazilian attacking weapons + Kilian Mbappe. Yaani ni squad bora kutokea kuliko ya kina Figo na Beckham
Mkuu nenda, niliwakuta Maputo, Mozambique wanagonga Portuguese kama lugha yao. Kwa ufupi wale wakirudi Cuba ni kutembelea familia tu.
Halafu jamaa shule sana, hata Ulaya huwezi kumkuta mcuba anabeba box
Mkuu ni kweli, watoto wa Cuba ni mia mia. Halafu kitu kingine Cuba unaweza kuchukua mtoto mkali ukimwahidi tu ntakupeleka Tanzania. Yaani warembo wana elimu lakini swala la ukata linawatesa mpaka wanatia huruma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.