Jamani wana JF naomba kuuliza ni kitambo kidogo tulisikia kauli tofauti tofauti toka kwa viongozi wa juu wakiwamo mawaziri kuhusu kukata waalimu pesa kwaajili ya maabara shule za Kata.
Hivi mpango huo umeishia wapi? Au wamesha jua kuwa ni tafrani watazua?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.