Inasaga karanga kuwa rojo (Peanutbutter) pia inasaga Almond kupata almondbutter nk.Bei tsh 999,000. Uwezo kg15 kwa saa. Umeme wa majumbani. Duka lipo Kinondoni mkwajuni nyuma ya ccm. simu 0715316614
.
Ya umeme Tsh 1,390,000. Isiyotumia umeme (unasukuma kwa mkono) Tsh 730,000. Zote ni mpya kutoka China. Duka lipo DSM Kinondoni Mkwajuni nyuma ya ccm. Simu 0715316614
.
Bei tsh 1,399,000. Material ni stainless steel haishiki kutu. Inachujio inachuja pia. Inakamua aina 24 za mafuta kama nazi, karanga, ufuta, mahindi, alizeti nk. Umeme 1.5KW. Voltage 220V. Duka lipo DSM kinondoni mkwajuni nyuma ya ccm. Simu 0715316614
.
BEI TSH 1,850,000. Ni ya umeme, mota 3.0KW, Voltage 220V (umeme wa nyumbani). Inakoboa ZAIDI ya gunia mbili kwa saa.Duka lipo kinondoni mkwajuni nyuma ya ccm. Simu 0715316614.
.
Inakausha vitu mbalimbali kama nyama, samaki, matunda, dagaa, viungo vya chai na pilau kama hiliki, karafuu, mdalasini,nk.
Ina trays 16 na inaingia kg32 kwa mara moja. Muda wa kukausha itategemea settings utKazoweka na unataka ikaushe kwa ubora upi. BEI TSH 1,650,000. Inatumia umeme wa nyumbani...
Mashine ya kutengeneza icecream za kijiti maarufu rambaramba. MPYA kutoka China. Inazalisha icecream 3,000 kwa siku. Inatumia umeme wa majumbani. Fika dukani DSM Kinondoni mkwajuni nyuma ya ccm. Simu/Whatsapp 0715316614. BEI TSH 3,399,000. Material ni Stainless steel haishiki kutu na ni IMARA...
Mega sale! Punguzo kubwa la zaidi ya 50%. Wahi sasa! Mashine ya kukatakata majani ya mifugo size tofauti, pia inasaga mchaichai kwa Tsh 1,350,000 tu badala ya 2,250,000/=. Mashine ipo tayari dukani Kinondoni Mkwajuni nyuma ya Ccm, tawi la Simba. Tupigie 0715316614. Imebaki moja tu! #Megasales...
Inatumia umeme wa majumbani. Bei na maelezo yote yapo kwenye picha. ipo tayari dukani DSM Kinondoni Mkwajuni nyuma ya CCM, lilipo tawi la timu ya Simba (utaona bendera nje). Mikoani tunatuma. Tupigie THE BRIDGE 0715316614.
MZIGO MPYA: . Inatumia umeme Material yake ni mazuri mno Stainlessteel 304. Bei Tsh 350,000 Huweki oda, ipo tayari dukani DSM Kinondoni Mkwajuni nyuma ya CCM, lilipo tawi la timu ya Simba (utaona bendera nje). Mikoani tunatuma. Tupigie THE BRIDGE 0715316614.
MZIGO MPYA: DRYER YA KUKAUSHA mbogamboga, matunda, nafaka, samaki, nyama nk. Inatumia umeme, ina trays 16 za kukaushia. Material yake ni mazuri mno Stainlessteel 304. Bei Tsh 1,450,000. Ipo tayari dukani DSM Kinondoni Mkwajuni nyuma ya CCM, lilipo tawi la timu ya Simba (utaona bendera nje)...
Wajasiriamali wengi wamekuwa wakihangaika kutafuta mashine/Vifaa kwa ajili ya kurahishisha uzalishaji, kuongeza thamani ya bidhaa zao na kuboresha shughuli za biashara zao kwa ujumla.
Vifaa vingi Tanzania hakuna, THE BRIDGE tupo China na DSM KINONDONI MKWAJUNI Nyuma ya CCM (HATUPO tena Tabata...
Inatumia umeme wa majumbani (220 V), Ni rahisi kutumia na ina umbo dogo (portable). Bei ya ofa 1,399,000 badala ya 1,600,000 . Fika dukani THE BRIDGE , Dsm tabata segerea mwisho stendi ya daladala , jengo linalofuata baada ya Amazon college (utaona bango la THE BRIDGE, Panda juu ghorofa ya...
Bei ya ofa ni 2, 100,000 tu badala ya bei ya kawaida ya 2,250,000. Ofa itaisha tar 20.08.2017. Mashine ni ya diesel, na inapukuchua Tani 1 kwa saa. Ina matairi madogo na ni rahisi kuhamishika. Mashine ni MPYA kutoka kiwandani China. Ipo dukani DSM, Tabata Segerea mwisho stendi ya daladala...
Agiza mashine hizi na tutazileta mpaka ulipo. Tupo China, Duka lipo magomeni Dsm. Pia unaweza kuagiza chochote kutoka China na tutakufikishia.
*MASHINE ZA KILIMO*
*1. Mashine ya kukatia nyasi/miti/kuvunia mpunga,miwa,mtama,ngano nk*
A. Mashine 35Cc+Jembe 1(Kuvunia/kukatia) =790,000 kwa meli
B...
Tunauza
1. Rapitest digital soil test kit. bei 250,000
2. 4 in 1 soil survey instrument. Tuna sale malum kwa sasa na bei ni ya punguzo Tsh 85,0000
VYOTE 1 & 2 vipo Dukani Dsm Magomeni.(vimebaki vichache, mzigo mpya utakuwepo Sept 1,2016)
3.Kelway Ph and moisture meter: kutoka marekani ni...
UPDATES: Bei ya punguzo kumalizia mzigo ni 110,000/= CHANGAMKIA offer hii. huwezi pata popote bei hii.
LIMA KISASA wewe Mkulima.Kifaa cha 4 in 1 Soil survey Instrument kinapima:
[emoji778]Sunlight (Mwanga wa jua)
[emoji778]Moisture (Unyevunyevu)
[emoji778]PH value(Kiwango Cha Asidi/Nyongo)...
UPDATES: Bei ya punguzo:350,000/=
PROJECTOR MPYA!
Imewasili,ipo DSM. Bei 450,000/= Ipo ndani ya box lake, Nzuri kwa ajili ya nyumbani kwako kuangalia mpira,Tamthiliya nk, pia nzuri kwa ajili ya matumizi ya ofisi na mikutano. Mawasiliano:WhatsApp +8613125094947.
X9 Projector 1000 Lumens 1080P...
Habari!
Kwa wale waliowahi kusoma UDSM (Mlimani) miaka ya nyuma huenda wanamkumbuka huyu kijana "sharobaro" muuza karatasi ambaye inadaiwa ni "mnyalu" kutoka kule Iringa.
Alichokuwa anafanya ni kununua rimu kisha anabana karatasi 4 au 5 na kisha anauza kwa sh 100 (kwa wakati huo, sijui sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.