Habari wadau, nauliza kama kuna mfanyabiashara yoyote anasafirisha mzigo kutoka Indonesia kuja Tanzania, au anafahamu kampuni yoyote inayosafirisha mizigo kutoka huko kuja huku.
Natanguliza shukrani kwa msaada.
POST DETAILS.
EMPLOYER: CORIS COMPANY LIMITED
POST: CASHIER
QUALIFICATIONS;
Diploma in Accounts or any related field
Send your CV and Application letter to;
salescoris@gmail.com.
Or bring it to our Office Mabibo Hostel near Lake Oil petrol Station.
Kwa yoyote anayeweza kunisaidia nitashukuru sana maana nimehangaika kutafuta kazi bila mafanikio.
Nina miaka 29
Nina degree ya sheria
Nina experience kama afisa sheria kwenye employees unions
Nina experience kama administration assistance
Naishi Dar
Nipo tayari kufanya kazi popote
Tunatoa huduma zote za usafi
Usafi wa maofisini
Usafi wa majumbani
Tunasafisha carpets na sofa
Tunasafisha madirisha
Tunafanya installation ya bins kwenye maofisi
Tunafua nguo
Tunafanya fumigation
bei zetu ni nafuu sana kwa kila mtu kuweza kumudu.
Usafi kwa afya bora
Je unahitaji usafi wa nyumba yako?, Ofisi yako?
Emci Cleaning services ipo kwa ajili yako.
Tuite tukufanyie usafi kwa gharama nafuu kabisa.
Tunasafisha masofa yote ya kitambaa na ya ngozi kwa gharama nafuuna tunatumia machine za kisasa.
Carpet nazo tunasafisha.
Tupigie 0716084733
Tunafanya...
Tunasupply vifaa vyote vya ofisini
Tunakodisha magari kwa ajili ya harusi.
Tunasupply vifaa vya majumbani kama fagio, mchele, unga, nyanya nk
Tunafanya usafi majumbani na maofisi.
Gharama zetu ni nafuu sana.
mekelektenterprises@gmail.com
Karibuni
Wale wanaomiliki hotel sasa nawasogezea huduma nzuri ya kupata nyanya, vitunguu, carrot na hoho vikiwa ni fresh kutoka shamba. Nakuletea mpaka eneo ulipo bila kucharge gharama ya usafiri.
Nyanya hizo wapendwa fresh from shambani sado sh 5000 tu.
Kuna carrot kg 1 sh 3000
Hoho kg 1 sh 3000...
Habari zenu humu ndani. Naomba msaada wa kueleweshwa, mama mjamzito aliyeshauriwa kuzaa kwa operation kwa sababu mtoto hajageuka atapaswa kusubiri wiki ya 40? Au itabidi apasuliwe kabla ya wiki ya 36?
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.