Dunia Ina Siri nzito sana hii.
Hapo usikute anayeulizia Mzigo wa Marehemu ni Alimuuzia kwa Mali Kauli, Endapo Akifika akiuza arejeshe Pesa. Mara Ghafla akapatwa na Mauti akiwa Njiani!
Kwa Haraka Haraka Ndugu wa Marehemu ni Ngumu kuelewa hilo Somo. Chakufanya ni Mweny Mali Kutafuta njia ya...
Acha Makasiriko, kwani huko nyuma hakukuwahi Kuwa na Bei za ivyo? Imekuwaje hadi tukafika huku tulipo sasa? Tunapiga kelele sababu zilizopelekea tukafika huko ziangaliwe upya pande zote ili tuende sawa kama inavyotakiwa.
Kama ni Gharama za Kutunza Shamba na Ufugaji yaandaliwe mazingira bora...
Hata hapo kweny Nyama umeweka Bei Juu sana walau iwe elf 3,000/-
Na Huduma za Kijamii napo bei ziwe chini kama Huduma ya Upatikanaji wa Umeme na maji.
Miaka ya Nyuma ilizoeleka Mafuta ya Taa(Kerosin) ndo yalikuwa Bei Ndogo Kuliko Deseal na Petrol ila kwa sasa Bei yake ni Juu mara Dufu ya...
Acha niende zangu tu Jukwaa la MMU maona huku siku hizi mapambio ni Mengi. Naweza Kula Ban kwa Kumtukana hata mleta Huu UZI maana ni kweli naona amechanganyikiwa
Huyu bro
Baada ya Kuhusi anaweza Kuwa manzi yake akatengeneza ID mpya tarehe 08/10/2023
Na akaupata Ukweli kuwa manzi yake kaliwa kimasihara kweli huku yeye msafisha Ghetto akiachwa solemba
Toka Tarehe 09/10/2023 amepotea kabisa huku JF.
Tuzidi Kumuombea huko alipo awe mzima[emoji40]
Link ya nini wakati mwamba hapo alitoa Boko kama Maguare tu[emoji3], kwny Masihara kule kajisahau katuma Screenshot ya chat zake na pisi yake namba ya Manzi Ikiwa wazi kabisa. Wahuni wakampandia Juu.
Hii mitandao Tuwe nayo makini sana. Kuharibiwa Image yako nzima inaweza kuwa jambo rahisi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.