Nijuavyo mimi hamaanishi wote. Ila kuna wale ambao utajiri wao haujapatikana kwa njia halali na pia matajiri wanajisahau kwa kufanya anasa bila kuwasadia wanaotaabika.
Mh. Mbilinyi. Sasa anaingia ulingoni. Tunataraji apigane kwa nguvu ili aweze kuwa First Eleven katika timu ya Kisiasa iitwayo CHADEMA ndani ya ligi kuu itwayo Bunge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.