Jamaa anahitaji media connection Tu mziki anauweza. Engine chuki Tu kubali matokeo songa mbele. Hii tabia ya chuki kwa washindi Mwisho wake Ndo Yale ya akina Mwampamba dhidi ya Heche.
Patrobass Ni Kiongozi Mzuri wa aina yake nakiri si caliber ya Heche. bado anajisimika unajua media zatu zinataka connections. kazi anapiga kila Leo mfano Alikua Kahama juzi akitokea shy. Jana alikua Arusha kwenye kumbukizi. za trh 5. Jamaa anamtihani wa kujenga Presence yake. Kama Salum Mwalim
MTU anisaidie latest defence system za Ke , Ug name Tz.
nachojua enzi za Kagera War Tz tulikua na SAM 6. ambayo Ni almost equal na TL 50. sema Hii Tl 50 imeadvance kidogo Tu.
na uwepo WA SAM 6 ZAIDI YA 300. ULIZIMISHA ndoto ya Ke kutushambulia enzi za 80s
KARIBUNI ITILIMA
Makamanda ABINGE HE NGUZU. Napenda kuwaomba na kuwakumbusha kuhudhuria sherehe ya harambee ya kuchangia Chadema ndani ya mkoa mpya wa Simiyu kwenye wilaya mpya ya Itilima itafanyika tarehe 28 mwezi huu katika ukumbi wa Bariadi Motel kuanzia saa nne asb. Sherehe hiyo itaambatana...
wewe ndo hujui lolote kuhusu siasa za Bunda na Mara. kwa kukusaidia tu picha ya Nyasura iko hivi. moja. Mgombea aliyeshinda mchakato wa ndani anaitwa magambo na Magambo na frank ni Marafiki. (uliza Bunda Nzima) na sasa mgombea aliyeshindwa anaeitwa Jumanne ndo alihujumu Nyasura akishilikiana na...
Ndugu wanabodi
Nimejaribu kutafuta taarifa za kina juu ya mchakato wa uchaguzi wa Baraza la Vijana CHADEMA(BAVICHA) taifa. taarifa nilizokusanya hadi sasa zinaonesha washindani wakubwa wako wanne.
1. Ephata Nanyaro
2. Daniel Naftari.
3. Patrobass Paschal.
4 Philipo Mwakitinge...
wajameni si mnakumbuka wakati huyu ZZK akiwa CHADEMA alikuwa mtu wa karibu wa JK mara anaacha kamati kuu ya chama anaenda nae Sudan. yaani haishi kupewa shavu/fursa na huyu Rais Dhaifu. ikafikia wakati dogo ZZK akawa nasema "ooh mimi Jakaya ni mzee wangu" nafursa zoete Bungen zilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.