ukiona mtu ananza kuwa na maswali kuhusu P, lazima kuna shida imeanza kutokea mwilini. kuna dalili ya elton john imeanza kumwingia.
Kuna zawadi iliyo bora na kukamilika kama hiyo kweli.
umesema kweli, hata mimi nilikuwa fan mkubwa sana. mechi ya Goldberg Vs The Rock ilikuwa balaa sana. Au triple H na hao viumbe wawili. bila kusahau BIG SHOW
mimi nasema, siku ambayo CHADEMA walijidanganya wakaruka mkojo na kukanyaga mavi ni siku ile waliyokubali kumpokea mamvi kwenye chama chao. mimi mwenyewe niliondoka na Dr. Slaa. Gia ya angani ilituponza chama chetu. CHADEMA original sio hii ya sasa, na kama kulikuwa kuna uchaguzi rahisi wa raisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.