Acha tule bata huku ughaibuni Tanzania wizi mtupu,haiwezekani billioni 221 achague either miaka miwili au fine,hata kama ni muathirika hasara aliyoingiza ni kubwa mno,one lawyer(state attorney) in Liyumbas case told me kuwa kesi ya liyumba ni maigizo, sasa nimeamini!
Jamani tuachane na UJIMA kwani kufanya usafi wa kucha ndo ushoga??if he can afford,let him do it hata ikiwezekana afanye na waxing mbona vitu vya kawaida tu siku hizi, he is always smart,ni mfano wa kuigwa.
wataishije mjini bila kujichubua ?nyie mapadesheee ndo mnaopenda totoz nyeupe na wao hawana jinsi zaidi ya kujiloeka kwenye tindikali wafikie viwango vyenu,jamani maisha magumu!but i hate this,why ujichubue ,why why y???
hahahaaaaaaaaa,mbona wengine sie weusi na tunapendwa tuuu,in fact you have to be proud of what you are ,sio kujikataa na kujichubuua hadi mvuto wa asili unapotea,its sad and i think its because of lil' education and lack of self esteem! shame on them,wangejua wazungu tulionao huku wanatamani...
mi kila siku ninavyosema tupindue serikali/CCM huwa sieleweki...,tumechoka kufanywa wakimbizi ndani ya nchi yetu na wachache wasio na akili.Tanzania bila vita haitawezekana,we have to get rid of ccm no matter what it costs...:angry:
watu tumejiandikisha tunataka hivyo vitambulisho vyao na sio kupiga kura,nani ana mda wa kupoteza kupigia kura mafisadi?? siku hizi kitambulisho cha mpiga kura dili kweli ,huwezi aminika mahali bila kuwa nacho....ila kura hatupigi unless ccm hawagombei.kwa hiyo hiyo figure hapo isikutishe sio...
na kweli ni wakoloni weusi,watu wachache wameamua kututesa kwenye nchi yetu kwa maslahi yao binafsi,kilichobaki ni kupindua,i will be one of the coup de etat troops,nina hasira sana na CCM,one day i met a close friend of of one young minister... tukiwa safarini,akanielezea ni jinsi gani rafiki...
mdau hapo juu,una ushahidi gani wa unachokisema,na hata hao uliowataja hapo juu,hamna hata mmoja mwenye njaa mpaka kutoka na mzungu,issue ni true love thats matter,tuache ubaguzi,kwani kuwa na mzungu si kielelezo cha kuganga njaa,au inakuuma jinsi hao wadada wanavyokula bata kwa raha zao?naomba...
mimi naona kwa nchi kama Tanzania,hakuna chama wala mtu yoyote atakayeongoza bila kujilimbikizia,hata kama CCM waking´olewa,the next regime itakuwa hivyo hivyo,uzalendo hamna kabsa siku hizi.
SOLUTION:Tuwaombe wakoloni warudi kuchukua nchi kwa miaka kadhaa mpaka hapo kutakapo kuwa na equal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.