Wabongo bwana kila kitu kinachakachuliwa?mimi sikubaliani na hilo kabisa davis mkali na alistahili,msechu nae yuko vizuri lakini hakumshinda davis,all in all wote ni washindi ila kwa sababu haiwezekani wote kushika namba moja basi davis alipaswa kushika namba moja na msechu namba mbili,big up...
Gsana unajua Mh JK huwa anatoa msamaha kwa wafungwa wa aina gani?how far are u sure kama hana hatia,wabongo bwana kwa kupenda kusikiliza maneno ya vijiweni!
Go Mgufuli go,wamezoea kufanya kazi kwa uzoefu na kutokuwa serious ,fanya kazi baba Mungu anakuona na atakulipa tu,twatutakia maisha marefu ikiwezekana uzunguke wizara zote unafaa sana
acheni ushamba, huo ni udaktari wa heshima na anayo haki kwa juhudi zake, mwalimu Julius Nyerere alipewa udaktari wa heshima mara 16! Ndiyo mshangae Kikwete! idiot
Isingekuwa rahisi kumpitisha yeye kuwa naibu spika wakati yalishapendekezwa majina matatu ya wanawake ambao wote walikuwa wanawake,ndio maana baada ya kutajwa majina hayo wakaongeza muda wa kuchukua form kwa sababu aliyekuwa amechukua ni Jenister peke yake kwa hiyo lazima angeshinda tu unaibu...
Upuuzi mtupu
Originally Posted by Fareed
Kikwete amejitahidi kiasi kuepukana na mawaziri ambao wana tuhuma/kashfa za ufisadi kwenye cabinet yake mpya. Lakini nimegundua kuwa wanasiasa vilaza wenye uwezo mdogo wa akili, ubunifu na kuchapa kazi ndiyo wamepewa kuongoza wizara nyeti.
Kwa maoni...
Akirudishwa Mizengo Kayanza Peter Pinda itakuwa bomba sana,hakuna sababu yoyote ya msingi ya kumtoa na kumweka mtu mwingine anafaa kumalizia ng'we hii 2010-2015.
Go Pinda go.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.