Search results

  1. P

    Lowassa au Mwandosya kuwa Rais wa Tanzania 2015?

    [ Dr.Asha rose migiro................ ????????????????????? Nani kasema ] 2015 ni Bernard Membe for presidency
  2. P

    Pinda ni masikini kweli...tuache unafiki.

    huyo sio mama pinda acheni kutudanganya
  3. P

    Kumbe jiji la Mwanza (the rock city)zuri hivi!!

    Mji ni bomba ile mwanza.
  4. P

    2001 Corona Premio for Sale

    kama uko tayari kwa 7m tufanye biashara fasta
  5. P

    Natafuta dawa ya kumsaidia mpenzi wangu

    hahhahahhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  6. P

    Msechu 'kachakachuliwa' Tusker Project?

    Wabongo bwana kila kitu kinachakachuliwa?mimi sikubaliani na hilo kabisa davis mkali na alistahili,msechu nae yuko vizuri lakini hakumshinda davis,all in all wote ni washindi ila kwa sababu haiwezekani wote kushika namba moja basi davis alipaswa kushika namba moja na msechu namba mbili,big up...
  7. P

    Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

    Gsana unajua Mh JK huwa anatoa msamaha kwa wafungwa wa aina gani?how far are u sure kama hana hatia,wabongo bwana kwa kupenda kusikiliza maneno ya vijiweni!
  8. P

    Elections 2010 Hii ya huyu waziri ni kiboko!

    Hahahahhahhahahahhahahhah,Mashaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!
  9. P

    Dr. Magufuli apindua mipango ya ufisadi TANROADS

    Go Mgufuli go,wamezoea kufanya kazi kwa uzoefu na kutokuwa serious ,fanya kazi baba Mungu anakuona na atakulipa tu,twatutakia maisha marefu ikiwezekana uzunguke wizara zote unafaa sana
  10. P

    JK na Shahada za heshima

    acheni ushamba, huo ni udaktari wa heshima na anayo haki kwa juhudi zake, mwalimu Julius Nyerere alipewa udaktari wa heshima mara 16! Ndiyo mshangae Kikwete! idiot
  11. P

    Elections 2010 Jennister Mhagama wa peramiho kaikosea nini ccm!?

    Isingekuwa rahisi kumpitisha yeye kuwa naibu spika wakati yalishapendekezwa majina matatu ya wanawake ambao wote walikuwa wanawake,ndio maana baada ya kutajwa majina hayo wakaongeza muda wa kuchukua form kwa sababu aliyekuwa amechukua ni Jenister peke yake kwa hiyo lazima angeshinda tu unaibu...
  12. P

    Cabinet mpya: JK kakosea wizara 5 nyeti

    Upuuzi mtupu Originally Posted by Fareed Kikwete amejitahidi kiasi kuepukana na mawaziri ambao wana tuhuma/kashfa za ufisadi kwenye cabinet yake mpya. Lakini nimegundua kuwa wanasiasa vilaza wenye uwezo mdogo wa akili, ubunifu na kuchapa kazi ndiyo wamepewa kuongoza wizara nyeti. Kwa maoni...
  13. P

    Pamoja na yote kaka zangu

    hahahhahahha
  14. P

    Elections 2010 Nani akipewa Uwaziri, Utashangaa, utasikitika au utafurahia?

    Akirudishwa Mizengo Kayanza Peter Pinda itakuwa bomba sana,hakuna sababu yoyote ya msingi ya kumtoa na kumweka mtu mwingine anafaa kumalizia ng'we hii 2010-2015. Go Pinda go.
  15. P

    Elections 2010 Nani kuukwaa uwaziri mkuu?

    Anarudi Mizengo Kayanza Peter Pinda
  16. P

    Dr slaaa kupewa uwaziri...

    Acheni kuandika mambo ya uongo,uzushi humu ndani kama huna cha kuandika bora ukae kimya tu
  17. P

    Safari ya Andrew Chenge kuwania Uspika wa JMT

    Chonde chonde Rais wetu tunaomba usitupitishie jina la huyu mtu,it will be a big disappointment.
Back
Top Bottom