Huwa najitahidi kuchungulia sana magazeti ila sina uhakika kama wametoa hizo nafasi maana kuna wale waliokuwa kambi ya mgulani JKT walioenda Mondoli ni wale waliosoma course za Science tu ina maana wengine walibaki, kwahiyo sijajua kama wanaweza kuita wengine wakati kuna waliokuwa wamebaki. Na...
Hi all!!
Kwa taarifa nilizonazo wameshaanza kuitwa kwenye interview, nina rafiki yangu kesho yeye ndio anaenda kufanya position Web Developer
sasa sijui kama wengine wameshafanya au lah!! Venue wanafanyia UDSM
Thanks in advance.
Hi all!!
Kwa taarifa nilizonazo wameshaanza kuitwa kwenye interview, nina rafiki yangu kesho yeye ndio anaenda kufanya position Web Developer
sasa sijui kama wengine wameshafanya au lah!! Venue wanafanyia UDSM
Thanks in advance.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.