Uzuri wake nini kuwaweka ndani vidagaa vya Tra ,vipi kjenga viwanda alivyohaidi,kaanzisha mahakama ya mafisadi ,Thamani ya tsh dhidi ya dola imebadilika , na vipi mfumuko wa bei ya vitu ikoje ?
Hivi baraza dogo la mawaziri 19 wala si 18 ukijumlisha na manaibu wao watafika zaidi ya watu 30,baraza lenye watu 30 ni baraza dogo ??? Ebu tafakarini hili.
Sio kila muda unatakiwa kuongea utachosha watu,wakati wa Msiba wa Mawzo ulikuwa hauwaoni kwenye media,wakati kiongozi wao kauwawa kiongozi gani wa ccm katoa pole,waache ccm wagombane wenyewe wewe unataka waongee nini
VIPi kipindi kile Msukuma/Nape/Lusinde kumtukana Lowasa kuwa kujinyea wakati wa kampeni kupitia Runinga ya star tv vipi ukilonganisha na ya akina Lipumba ipi ina ahueni
Huu ufisadi toka nchi ipate uhuru ni ccm ndio wanaotawala haijawai kutokea upinzani kuongoza Tanzania kama mafisadi Wako ndani ya ccm na ccm yenyewe ndio imeanza kupambana na mafisadi wake sasa upinzani wanahusika nini,kuiba muibe wenyewe kushtakiana mnashtakiana wenyewe iweje mtukebei wapinzani...
Nyie wanafiki mnaomsufia Magufuli kafanya nini nawauliza ? Sukari kilo 1 sh 2200,000/-,mchele shs 2000/-,sementi shs 185000/-nondo tsh 15000/- mbao ths 15000/- ya kujengea.nauri kutoka mwanza mpaka daresalaam ni sh 45,000/- mpaka 50,000/- kwa basi.wakati wa Kikwete bei ilikuwa ngapi na wakati...
Mnazunguka na watu wadogo mnawapa cash,wakati viongozi wa ccm wengi ndo wafanya biashara na wakwepa kodi ni yupi vigogo hao keshakamtwa,kuna wale wa Escrow waliobeba hela kwenye viroba hata kuguswa bado ,kila kukicha Magufuli Magufuli tunataka tuwaone hao wanakamatwa ,lakini kama kuongea ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.