mkuu MIM NILIKUWEPO WAKATI HUYU BWANA ANAPIGWA HILI SWALI CHA AJABU KUNA KITU MEMBE AMEKIONGEA HAWA JAMAA HAWAJA ANDIKA KUMUOKOA HUYU JAMAA YAO CONCEPT YA " DEPT SWAP" ILIZALIWA BAADA YA KUSEMA SERIKALI YA TANZANIA ILIIPA SERIKARI YA LIBYA HOTEL MAARUFU YA BAHARI BEACH ETI KUPUNGUZA DENI SASA...
Mwl JK Nyerere "Hatutamchagua mtu kwa sababu ya kabila lake", hakuishia hapo akaongeza pia "hatutamkataa mtu kwa sababu ya kabila lake"
Tuchague viongozi kwa sifa zao
TUWE MAKINI SANA NA WATU WANAOANGALIA UDINI NA UKABILA NI WAKUOGOPWA.
jamani MIMI MTU WA HUKU KASKAZINI KIUKWELI DR MWAKYEMBE NI WA UKWELI HANA UTANI NA MTU NA UKWELI UNAJULIKANA JAMAA NI MCHAPA KAZI PROF MWANDOSYA AMEPOOZA SIYO KAMA SIKU ZA NYUMA SIJUI ANAUMWA BADO? ILA CCM WAKIMUWEKA DR MAENDELEO YATAONEKANA ANGALIA UCHUKUZI NDANI YA MIAKA MIWILI TU, NENDA EAST...
du WEWE NOMA UMEAMUA KUGEUZA MADA AU ULIKUWA UMEKUNYWA NAOMBA NIKUKUMBUSHE HEADING YENYEWE "DR MWAKYEMBE, DR SLAA HAWA NDIYO TISHIO KWA LOWASA" umekumbuka mzee.
wewe MWENYEWE UNAOMBA UKU UNANGALIA NYUMA UNAONA AIBU KWA SASA EDO LWS ANARUDISHA PESA YETU SIS WALA HATUANGAIKI NAE ILA CHAMTEMAKUNI ATAKIONA THIS YEAR.
alafu MTOA MADA UWE UNAFIKIR ATAKAMA UMEONGWA KUFANYA HII KAZI UNAMTAKA DR MWAKYEMBE AWE NA AIBU KWANI KAMSEDUCE MAM AKO WE NDY UWE NA AIBU KUTAKA KUMCHAFUWA KIONGOZI TENA WAZIR WA NCHI HUOGOPI JERA HAYA ENDELEA CAMPAIGN ZA UCHAGUZI BADO LKN.
Jaman sinakipingamizi na dr mwakyembe sipati shida hata kumuongelea kama watangaza nia wengine uwazir ndani ya miaka miwili tu amefanya remarkable job eac miezi tu rais wa rwanda kagame kawa ndugu yetu na eac yote inatuheshim nchi kuelekea kipato cha kati tunaitaji mtu mtekerezaji mzarendo...
Acha ujinga wewe unaonekana upo sharrow majibu muulize Kafulila Dr Mwakyembe alisha maliza na aliunda mpaka tim ya kuchunguza ikisaidiana na Takukuru rete jingine.
Jamani waTZ kumbukeni Ata Kagame alikuwa adui yetu lkn umeenda EAC kilamtu lafiki yetu akuna maadui nchi ina amani Dr Mwakyembe sina Shaka na uwamuzi wako wewe ndiye Rais wetu.
Mzee wa kasi na viwango kwenye kualibu kaanza na EAC kaalibu sana
Akamia kwenye katiba karibu sana mpaka hata vitoto vidogo vinalalamika hii kasi ya huyu babu mbona ndivyo sivyo
Sasa naona amekuja kuuwa uchukuzi, Mwakyembe kafanya kazi nzuri ndani ya miaka miwili lkn mzee wa viwango na kasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.