HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MHESHIMIWA ESTHER NICHOLAS MATIKO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2015/16 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA...
BARAZA LA WAZEE WA
CHADEMA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA
HABARI NA UMMA
KUHUSU
UKIMYA WA RAIS MAGUFULI UFISADI WA TRILIONI 8 ZA WAFANYAKAZI, WASTAAFU
Ndugu waandishi wa habari, tunapenda kuwashukuru kwa kuitikia wito huu wa kukutana nanyi...
CHADEMA kinawataka wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam na viunga vyake kuwa na subira ya kutambulishwa rasmi kwao Katibu Mkuu wa Chama, Dkt. Vincent Mashinji aliyechaguliwa na Baraza Kuu wiki iliyopita jijini Mwanza.
Aidha, Chama kinawaomba wadau, wanachama, marafiki na washabiki kujiandaa kutoa...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari na umma kuwa chama kupitia Ofisi ya Katibu Mkuu kimeanza kutekeleza mpango wa mafunzo kwa viongozi wa chama, wabunge pamoja na madiwani nchi nzima ili kutimiza kiu ya MABADILIKO kwa Watanzania, ikiwa ni moja ya maazimio ya...
Kwa niaba ya Bavicha Taifa
Tunakupongeza na Hongera sana, Kiongozi wa Upinzani Bungeni (KUB)
Hon. F. A. Mbowe - Mp kwa kuteua serikali mbadala/kivuli makini, tunawaomba sana Mawaziri na Manaibu wote mlioteuliwa mzitendee haki nafasi mlizopewa, onyesheni kwamba UKAWA (CDM,CUF&NCCR) ni serikali...
Ni kutoka moja kwa moja ndani ya ccm Arusha mjini. Kuna mbinu ya kuwakataza baadi ya wananchi wa Jimbo la Arusha kutopiga kura kwa kisingizio siyo wakazi wa eneo usika hata kama watakua na kitambulisho cha kupigia kura na pindi wananchi watakapo kuwa wakali kwanini wanakatazwa kupiga kura polisi...
Ufafanuzi
Jumla ya Wabunge wa Vyama vinavyounda UKAWA wako 113, hawa ni wabunge wa Majimbo na Viti Maalum. Waliosajiliwa hadi sasa kwenye Kambi ya Upinzani Bungeni ambao ndiyo waliingia ukumbini kupiga kura leo wakati wa kupiga kura kumchagua Spika wa Bunge walikuwa 109. Kwa namna ya kipekee...
Niko kwenye viwanja vya Soko Kuu Jijini Arusha watu wameshaanza kuja na wana morari na cha chao CHADEMA nitaendelea kuwaletea matukio yote moja kwa moja kutokea Jijini Arusha.
Nchi hii imenichukua miaka 23 kuisoma tabia ya wanaccm ,kadri ya siku zilivyosonga ndipo nilipokubaliana na kauli ya Yesu kristo kuwa"ufalme hauwezi kujifitisha"
Wakati tunamwingiza Rais jk Madarakani tuliambiwa chaguo la Mungu,kijana na anajua shida za vijana na watanzania.
Kikwete...
Na Bryceson Mathias, Morogoro.
MBINU na Mizengwe ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Kihonda Morogoro, kimekwama kuuhujumu Uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa madai Mgombea wa Chadema, Elizeus Rwegasira, kwamba hana Mke, wakati ana Mke na watoto watatu Sekondari...
Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) leo kuanzia saa 7 mchana watafanya Press na waandishi wa habari, Makao Makuu ya CHADEMA.
===================================
Magazeti ya Leo yameandika hivi;
Baada ya Marehemu Edward Moringe sokoine kumkosa1984, Historia imejirudia Edward Ngoyai Lowassa!
Ni kipindi kirefu kipenzi cha watanzania,kutoweka Tanzania.kiongozi wa watu aliyekaa na watu aliyeumia na watu aliyechukia rushwa,uzembe,na umaskini.
Aliyechukia utajiri wa ghafla ambao leo ccm...
Salum Mwalim (katikati) Frorian R Mbeo(Kulia) mwakilishi wa katibu Mkuu wa NCCR, Tozzi Matwanga (Kushoto) katibu mkuu NLD.
Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA unapenda kuwatangazia watanzania wote kuwa Tarehe 10/8/2015 Mgombe urais kupitia CHADEMA na UKAWA Edward Lowassa na mgombea mwenza Juma...
CCM ghafla imekuwa swahiba wa Dr.Slaa na kumpigia kampeini awe mgombea wa ukawa kwa maneno ya ushawishi na upendo kwa Dr.Slaa wakichombeza kuwa chama kimemsaliti.
CCM wanajifanya werevu kuliko CHADEMA kwa kujifanya wako kinyume na msemo wa "adui hukuombea njaa. Wao CCM wanajifanya wema kwa...
UNAKARIBISHWA KWENYE MKUTANO MKUBWA WA BAVICHA WILAYA YA CHUNYA-CHADEMA.
MUDA; SAA NANE MCHANA.
SIKU;02/08/2015.
UWANJA WA SABASABA CHUNYA MJINI!
Wako;
MWAKIBINGA,PHILIPO.
(MRATIBU BAVICHA(W))
UKAWA TUMAIN LETU.
" Watanzania kindakindaki mliozoea kuchagua kwa mazoea ya kupokea hongo nyakati za usiku ccm namabalozi wao mjiandae kwa mambo haya:
* Kuchangishwa hela ya madawati,maji,taaluma,ulinzi,vitabu mashuleni.
* Mjiandae kufukuzwa kwenye ardhi zenu,viwanja vyenu,
*Mjiandae kukosa dawa,tiba...
Tasisi ya Data point imetoa matokeo ya Tafiti yake ya vyama vya siasa na CCM imeongoza kwa kutoa na kupokea rushwa kwenye chaguzi zao za ndani na kutofuata katiba yao kwa sababu mbalimbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.