HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MHESHIMIWA ESTHER NICHOLAS MATIKO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2015/16 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA...
Mleta thread unahuwakika na Unachokiongea au unaongea ili ujulikane upo? Kitengo cha habari chadema tupo makini na hatuwezi fanya huo ujinga hata mara moja ni vema kabla ya kuongea ukauliza kwanza.
Asante
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari na umma wa Watanzania kuwa Kamati Kuu ya Chama itakutana Mjini Dodoma katika kikao chake cha kikatiba kuanzia Mei 12-13, chini ya Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe.
Kikao hicho, pamoja na masuala mengine, kitajadili kwa kina...
BARAZA LA WAZEE WA
CHADEMA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA
HABARI NA UMMA
KUHUSU
UKIMYA WA RAIS MAGUFULI UFISADI WA TRILIONI 8 ZA WAFANYAKAZI, WASTAAFU
Ndugu waandishi wa habari, tunapenda kuwashukuru kwa kuitikia wito huu wa kukutana nanyi...
CHADEMA kinawataka wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam na viunga vyake kuwa na subira ya kutambulishwa rasmi kwao Katibu Mkuu wa Chama, Dkt. Vincent Mashinji aliyechaguliwa na Baraza Kuu wiki iliyopita jijini Mwanza.
Aidha, Chama kinawaomba wadau, wanachama, marafiki na washabiki kujiandaa kutoa...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari na umma kuwa chama kupitia Ofisi ya Katibu Mkuu kimeanza kutekeleza mpango wa mafunzo kwa viongozi wa chama, wabunge pamoja na madiwani nchi nzima ili kutimiza kiu ya MABADILIKO kwa Watanzania, ikiwa ni moja ya maazimio ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.