Kuna siku nimeacha 1000 vocha ktk line,nakuja kucheki baadae kuna 940,nikapiga huduma kwa wateja naambiwa umejiunga na huduma za sport,eti niwe napata updates za michezo,nikamuuliza lini mimi nimejiunga na hiyo huduma??nayeye akahamia ktk swali,vipi unataka kujitoa??nikamjibu ishu sio kutoka...
Ni tatizo.
nimetoka kumsikiliza mtoto wa marehemu CDF wa kenya,nayeye analalamika na blog vibungo,kwamba taarifa ya kwanza kuiona ni video ya helkopter ikiteketea kwa moto, na maelezo kwamba ilikuwa ni ya jeshi imebeba CDF.
Sheria ya matumizi ya mtandao inatakiwa kuboreshwa,watu wanatumia hata...
Huwa mna mtabiri sana lakini huyu mtu si kwamba kathibitsha tu hatabiriki,ila inaonekana kabisa ana kitu cha tofauti na vijana wengi wanachokiona wanaomteua tu.
Nasisitiza vijana wenzangu,kuwa wakweli hadharani na sirini,kuwezi waaminifu kwa walio waamini,na hakikisheni mnakuwa na utu kama...
Huwa nawaza hivi angekuwa hata mdogo wangu huyu,nikamwomba mtaji akaamua tu kutoa lawama anipe kaka yake bilion 2 za madafu ili nisimsumbue tena😅😅😂😂😂.
Aaaaaah mawazo yetu tusio na hela huwa ni kupewa pewa tu.
Iko hivyo duniani kote,tofauti tu ni kwamba hapa kwetu ccm hakuna cha maana imefanya.
Huyo mwenyekiti wa uviccm yuko karibu sana kuwa rais kuliko huyo RPC,sababu chama ndicho kinaamua nani awe rais.
kila mwananchi akiwa na mtizamo huu,basi hakuna maana ya maisha.
kila mwananchi akiwa serious na haki zake uonezi utapungua,yaani unatoa mwenyewe elfu 5 kwa uoga wako,halafu unaanza kulalamika traffic wana njaa!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.