Daaah!! Zinc eee acha hizo bwana!! mbona kwenye kugegeda hukuomba ushauri kwa wadau? na ulipokuwa unamwagia mwenzio yale maji ya uhai ulitegemea nn? au ulidhani mchezo? we malizana nae km mlivyoanza bwana wacha kumzingua na akija jf hatumpotezei wala nn!! wacha kumnyanyasa bwana daaah wanaume...
Bila matunzo hata huyo utamchoka!! yaonekana unapenda vya bure, ss we endelea tu na huyo mke wa rafiki yako ila ujiandae kufumuliwa hayo marinda yako!!
Mm nimeolewa na wa kutoka mara ikiwa mm ni wa kusini ss alete hiyo mila yake ya kuoa wake wengi km hapajachimbika!! hivi huko si kuleteana magonjwa ndani na kudhalilisha wanawake?shemeji zangu badilikeni jamani!!! looh!
Pia hakuna kuzaa!! so ili uwe binadamu halisi lazima hayo mambo yote unayoyakwepa uyatimize na mwisho uzae km ulivyozaliwa kukwepa hayo ni kuhitimisha uzao wako
Mzalendo 91, binadamu ni binadamu tu! huwezi linganisha hiyo midoli na mwanamke wa kawaida, kabla ya hilo tendo kuna mambo mengi ya kufanya.Tendo ni hitimisho tu.Hebu fikiria eti kabla ya tendo unaliwekea milio unayotaka lilie! sa hapo kuna raha gani? mi naona ni sawa na kubaka! so mwanaume wa...
Thank God! nimefarijika cose ni mmojawapo kati ya waliokuombea usiku wa leo! Msikivu Tz ww mungu anakupenda sana sana, na kupitia kwako anataka ufanye jambo, amini amekupa hilo jaribu kubwa na umefanikiwa kiasi kikubwa sana kulishinda!!Ss basi naamini hiyo sehemu ndogo iliyobaki ya kusamehe na...
Oooooooh!! maskini pole sana.Hapa panatakiwa wana saikolojia hasa.Na viongozi wa dini wanatakiwa hapa kumweka sawa kijana.Mm msaada wangu ni kumwombea tu kwa mungu ampunguzie msongo wa mawazo.Eti baba msikivu ww ni dini gani??Binafsi imenigusa sana.Wacha nijaribu Pm mana sijawahi itumia daaaaah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.