Wkt huo kilikuwa ni chama cha kina Nyerere na kulikuwa na siasa safi na uongozi bora ! nawe ulisoma bure na pamoja na makabwela,matajiri,wazungu,wahindi,waaarabu nk wewe mwana wa nchi uliheshimika na sio sasa !
Kwanza kabisa nadhani ni makosa kusema ni maadili ya kitanzania ! jaribu kuangalia huko nyuma hao watanzania,waafrika wote wanavaaje mavazi yao na hata kwenye sherehe mbalimbali huwa wako ktk vivazi gani ? haya twaweza kuyaita maadili ya kislamu,kiyahudi nk .na kimsingi kukaa nusu uchi kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.