Labda nimsadie tu mleta mada, alicholenga kusema ni hivi... "Milima huwa haikutani lakini Wanadamu hukutana"...Si hilo tu jamani:-) Au?.
Anyway, mimi nilikuwa napita tu hapa....baadae:-)
Jambo hili Ki sheria liko hivi:
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania za sasa mtoto wake anachostahiki ni kupatiwa Tanzanian passport tu (Na sio cheti cha kuzaliwa cha Tanzania). Na wakati wa ku apply hiyo passport wataitisha birth certificate ya Kenya na kumtia kwenye passport faili yako (kama Baba...
Naomba kuunga mkono hoja shehe wangu mia kwa mia:) Wala huna haja ya kumwaga Ma - Sura wala Ma - Aya... Tunajionea wenyewe yanajiri na kuendelea nchini kwa sasa.
Disclaimer: Imani yangu haifungamani na dini yeyote.
Maandiko matakatifu yanatushauri na kutuasa kuwa na "Na tunene kwa busara na hekima"....Na pale tunapojisikia kupungukiwa na vitu hivyo basi tunaaswa kuwa na "tukae kimya"......(yaani "Ukimya" unatosha)
Napata wasiwasi na 'busara na hekima' ya kiongozi huyu mwenye njozi ya kuwa IGP......Hivi...
Sikia, serikali ilisha azirika vibaya tu na kupata soni (haya). Katika harakati za kutafuta pa kutoke baada ya kuona imeshafanya blunder nzito ndio imeamua kujitoa kwenye kesi Ki aina kukwepa fedheha zaidi.
Waswahili wanasema mtu mzima ukivuliwa nguo "Chutama". Kwa maneno mengine serikali...
Kweli nimeamini sasa kuwa moja ya sifa ya kuteuliwa kuwa DC au RC ni kujua "kusoma na kuandika" tu basi ( Na si habari ya kufika sijui darasa la ngapi, diploma au degree kama wengine wanavyofikiri).
Ubabe wa RC katika utekelezaji wa zoezi la kujenga madarasa kwa staili ya zimamoto linakiuka...
Ndugai bwana! Mtu mzima anayejitoa ufahamu na kuwa Mtu mzima hovyo? Hivi kweli hamjui ni nani anayecontrol matumizi ya serikali kwa sasa?
Labda tungeanza kwa Muuliza kuwa hapo zamani za kale aliyekuwa ana control matumizi ya serikali ya awamu ya iliyopita (ya tano ) alikuwa nani?
Asitake...
Mama anampiga kijembe cha haja "Gwajiboy" kwa kuuliza kwa kusanifu...."Kawe tunachanja ama hatuchanji"...naona Gwajiboy ameshikwa na kidaka...."Ana-smile" Ni hakika Moyoni ananajua mtihani huo:) teh teh teh...Anaikwepa kuijbu kistaaarabu kauli hiyo ya Mama anabakia kusema... "Mama watu wa Kawe...
Halafu ndo ingekuwa kweli ni Uchumi wa kati walau inge make a sense.....lakini sio uchumi wa kati ya "Ripoti za Ki-Nadharia" za kubumba:-)....Ni viini macho na ndio maana WaTanzania wanateseka sasa.
Maana ukishaingia uchumi wa kati nchi inakuwa hai-qualify hata kufaidika na mipango kuinua...
Ni Afadhali Mmarekani angewekeza na kwenye kiwanda cha kubangua kwanza. Sasa viwanda vilivyopo uwezo wa kubangua ni tani 60,000 wakati uzalishaji ni zaidi ya tani 300,000. Hapo unaweza kuona shida ilipo
Halafu unasikia ATCL inatengeza hasara za Mabillioni na Wa-Tanzania wanashangaa? Itatengeneza faidi saa ngapi wakati midege yenyewe inafanywa Uber na Ikulu badala ya kuchacharika kusafirisha abiria huku na huko. Ndege ya Rais ipo wameitupilia huko?
YES, Kiongozi kama Papa hutumia ndege ya...
Haya ndio matatizo ya serikali inapoendeshwa na wavivu wa kufikiri. Tazama hili zoezi na utaratibu mzima unavyo pwaya... "It's just a bizarre" and it doesn't make a sense completely........It looks like the Commander in Chief is on vacation and the country is on auto-pilot mode # Mtanikumbuka#
Museveni ni mmoja viongozi madalali barani Afrika. Nina hakika amesha cash out deal hili bila kujali maslahi na hata matakwa ya Waganda. Kwake yeye binafsi hii ni fursa.
Of course unalipwa kama vile vile ambavyo mtu unavyo chaguliwa kuwa mjumbe wa tume au kamati maalum ya uchunguzi wa jambo fulani hivi.
Na hawa wanaweza kutengeneza pesa ndefu kwa ule mtindo unaolipa kwa posho au (Per Diem) wanapozunguka kwenye kampeni za kuelimisha na kutoa hamasa kwa umma...
Ukweli usiopingikika ni kuwa Mama amepima Upepo na ameshaona maono kuwa "Hatoshi". Na kwa mwenye uwelewa wa hali ya Kisiasa kwa sasa nchini analiewelewa hili dhahiri bila ya yeye kusema lolote.
Wa-Tanganyika wenzangu, kumbukeni kwamba nchi yetu kwa sasa iko chini ya Mtawala ambaye ni TX (Tanzania Expatriate) kutoka kule ni " Nchi ama si nchi". Iko hivi hana uchungu na nyinyi. Malalamiko yenu na shida zenu hazimnyimi yeye usingizi wala siyo vipaumbele vyake kama mnayotaka amielewe. BTW...
Rais na Waziri wake wote muflisi. Jambo hili au tozo hizi lilitakiwa kupimwa na Rais na Waziri wake kwanza iwapo ni jambo ambalo ni "practical" kwa Watanzania wa kawaida kabla halifikia utekelezaji.
Na hapa ndio unaweza kuona kuwa Bunge ni dhaifu kiasi gani. Kwa maneno mengine Bunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.