heshima mbele wakuu,
naombeni msaada wa mawazo, eti mimba hutungwa siku gani maana kuna masela wananiambia ni siku ya kumi adi kumi na nne, wengine wanasema siku ya 10 hadi 17?
msaada wenu tafadhali juu ya ili swala
ukiona PIN CODE wala usiwaze jua tuu tayar ufisadi wa mapenzi umeanza na ukitaka moto uwake na we weka PNI CODE, ndio utajua mkuki kwa nguruwe............mi huwa sipotezagi muda nikiona pin tu nami naweka,
Anadai ni shetani hila bado anampenda sana mpenz wake huyo, na mpenzi wake huyo ni mkibosho anaogopa kwenda kuomba msamaha maana anaweza ambulia kipigo cha mwizi
Jamaa kaenda kwa mpenzi wake, amefika katuta kufuli mlangoni, kaamua kumpigia mpenzi wake.
jamaa: hi cwty mambo?
Demu: pouwa my luv
Jamaa: uko wapi mamy
Demu: niko home nimelala
Jamaa: vipi unaumwa?
Demu: no nimepumzika tuu,
Jamaa:okey baby i luv u..
Demu: luv u too
jamaa kaamua kukaa pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.