Sualal uchangiaji viungo linafanyika duniani kote. Sisi tumechelewa sana. Watu wengi wanakufa kwa kukosa viungo mbadala kisa hakuna benki ya viungo. Nchi zilizoendelea wenye matatizo ya moyo, figo nk hupata viungo toka kwa watu waliojitolea. Hakuna maana yoyote ya kufa kisha ukazikwa na viungo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.