Wakili Msomi Mwangomango, mwana maendeleo wa kweli, kijana mchapakazi, msomi, mtu mwenye misimamo, hakika wana Rungwe watakuwa wamepata mwakilishi wa kweli.
Nitumie MB zangu kumshauri afikirie kuchukua fomu kama bado hajafikiria, wakati ni sasa.
Naiona Rungwe mpya
Habari wadau?
Naomba kupata ushauri na uzoefu kutoka kwenu.
Ningependa kujua jinsi ya kuanzisha BIASHARA ya viatu vya mtumba (vya kike na vya kiume), mahala napoweza kupata viatu hivyo (kwa bei ya jumla), gharama ya kununulia na kuuzia, na faida pia.
Pia ningependa kujua vibali navyotakiwa...
Unaweza ukaamua kujiajiri ukafanikiwa zaidi ingawa ushauri wangu kwako ni kuwa ukishindana kubali kushindwa. Wewe unaweza ukaona umefaulu sana lakini kumbuka sio kazi yako kusahihisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.