Nakusudia kuanzisha maandamano ili kumtaka katibu mkuu wa chadema ajitokeze na kusema kilicho moyoni mwake.Mimi nimewaelewa sana kuhusu war stretegy wanayoitumia kushindana na ccm,lakini kwa nini wanavurugana?Nani tatizo,yeye,mbowe,kamati kuu ama mke wake kama wanavyodai?Hiki chama ni chama cha...
"KWANINI CHADEMA WAMEMCHUKUA
LOWASSA.
Mnamo mwezi February mwaka huu
Umoja wa Katiba ya Wananchi
(UKAWA) waliingia ubia na kampuni
maarufu duniani inayojihusisha na
tafiti za siasa (Political Research)
ijulikanayo kama Greenberg Quinlan
Rosner. ( www.gqrr.com/ ).
UKAWA walitaka kujua...
Je unataka/una mpango wa kujenga nyumba ya gharama nafuu kwa kutumia vifaa vinavyopatikana hapa nchini na nje ya nchi?Je unahitaji nyumba ambayo baada ya kuijenga gharama za uendeshaji ikiwemo ankaa za umeme,maji na matengenezo hazitokuwepo kabisa ama kuwepo kwa kiwango kidogo?Je unahitaji...
Je unataka/una mpango wa kujenga nyumba ya gharama nafuu kwa kutumia vifaa vinavyopatikana hapa nchini na nje ya nchi?Je unahitaji nyumba ambayo baada ya kuijenga gharama za uendeshaji ikiwemo ankaa za umeme,maji na matengenezo hazitokuwepo kabisa ama kuwepo kwa kiwango kidogo?Je unahitaji...
Wadau,
Nahitaji kupata bamboo /mianzi
ambayo imekomaa na eidha
imekauka ama bado (ikiwa
haijavunwa pia). Naomba kwa
yeyote anayefahamu inapopatikana
ama kama ni mkulima anijuze.
Wadau,
Nahitaji kupata bamboo /mianzi ambayo imekomaa na eidha imekauka ama bado (ikiwa haijavunwa pia). Naomba kwa yeyote anayefahamu inapopatikana ama kama ni mkulima anijuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.