Kwani juzi juzi Yanga ilivyocheza Kirumba ilikuwaje? Watu wanacheza hadi kwenye barafu. Huo uwanja haufai kwa standard ya ligi kuu hata ukiwa mkavu ila kwa kuwa mlikaa kimya kipindi chote kabla hamjacheza, endeleeni kunyamaza
Umeniwahi kwenye jambo moja muhimu ulilosema hapa. Nadhani kabla ya yote, ili tutoke hapa tulipo neno "michezo" libadilishwe au litafutwe neno la ziada kutofautisha michezo ya kujiliwaza na michezo ya kulipwa, kama zamani walivyokuwa wanasema mpira wa ridhaa na mpira wa kulipwa, ingawa sasa...
Watakwambia hizo hatua za kuzingatia "quality of life" bado hatujazifikia. Watakwambia bado tuko hatua ya kusurvive na kuongeza mlo kutoka mmoja hadi miwili. Ndiyo maana mambo mengi yanayoharibu ustawi na quality ya maisha ya kila siku ya Watanzania yanafumbiwa macho kwa sababu kuna watu ambao...
Mimi ningekuwa na mamlaka nchi hii ningefanya yafuatayo:
1. Ningevirudisha serikalini viwanja vyote vya michezo vilivyochukuliwa na CCM
2. Ningeunda Taasisi ya kusimamia na kuboresha viwanja vyote vya michezo na vya wazi nchini. Viwanja vyote kuanzia vikubwa kama Mkapa, mashuleni hadi vya...
Ni kweli walikamia ila jana mlikuwa mpoteze ile mechi tena hata kwa goli 3 ila siku hizi mna kismati sana nyie na wachezaji wa Yanga wako tayari kufia uwanjani sijui huwa mnawaambia nini.
Lile shuti la Ndemla sielewi lilishindwaje kuingia likapitiliza. Kuna shuti Bacca alilizuia kwa kichwa...
Tafsiri ya "kuruka ukuta" ni pana. Kutumia milango isiyo rasmi pia ni "kuruka ukuta". Unadhani Yanga pamoja na uCCM wao wote wanaweza kuvunja geti pale Mbweni?
Siyo kwamba hawajui faida zake, wanazijua sana jinsi sanaa na michezo vinaweza kuwainua wangapi. Shida ni wanaogopa maendeleo ya haraka yatakayoibua vijana wasioambilika, wasioamini wanahitaji kulipa fadhila kwa yeyote ambao watakataa kuwa machawa.
Ndiyo maana kuna sekta kuanzia elimu hadi...
Hii ndiyo mechi nilikuwa nina uhakika Yanga atadondosha point maana hawezi kuruka ukuta kwenye kambi ya jeshi. Tena mshukuru tope lile limewabeba maana nyie ni wazee wa matopeni. Mahesabu yangu ya muda mrefu, Simba wangekaza wakashinda zile mechi zake za karibuni na ile derby ya juzi, baada ya...
Niliwahi kutoa ushauri Tanzania tuachane na mambo ya kuokoteza makocha kutoka kila pembe ya dunia, matokeo yake nchi inakosa dira au mfumo wa uchezaji ambao uko uniform. Nikashauri tuingie mkataba na Ujerumani, tukubali tuwe kama "koloni lao" kwa upande wa football. Watujengee mfumo kuanzia...
Ifanyie kazi, mgodi huo lazima ukutoe maana mahitaji yapo. Wewe jiamini anza, mimi niko busy sasa hivi, baada ya miezi 3 tuchekiane nione naweza kusaidia wapi. Nikishindwa kujiunga nitakusaidia hata kwa mawazo
Stick na mpira.
Lisimamie mwenyewe, nenda kwenye klabu unayoshabikia ongea na viongozi. Anzia na mashabiki wa timu hiyo ni rahisi kupata hao watu 100-500 kama ni hizi Simba/Yanga. Halafu kisajili kama kikundi cha uhamasishaji na ushangiliaji katika michezo kisichofungamana na upande wowote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.