Hahahahaha eti shape yake ni kama kiazi mambo mengine bhana yanachekesha kweli yani, ila pole kwa yaliokukuta, cku nyingie uwe unafikiria kwanza alafu ndo uongee
Watu wana wivu kweli, mwacheni mwenzenu ale maisha, unyenyekevu wake kwa mumewe na mapenzi yake kwake ndo yalompa ndoa, mwanamke itambue nafasi yako kwa mumeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.