i real hate jamani embu igeni ustarabu wa mitandao mingine wanavyofanya promosheni zao, tigo mpaka usiku mnatuma sms mnashtua watu na kusumbua please mimi sihitaji hiyo huduma yenu ila sms kila saa , hiyo huduma ndio ilinifanya nisingie na extrem mana ukujiunga tuu kosa sms kila mara
ni fursa pekee kuexpress matatizo yetu live tena kwa umazi pia nasi tubadilike jamani cuz changes start by u first before the other do to you, mbona tunatupa taka kwenye mitaro ni serikali jamani? au kuachia vyoo mvua ikinyesha NI SERIKALI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.