Nimesikia mjumbe 1 wa Bunge la katiba akilalamika kutukanwa na mtandao wa jamii na kulaumu kuwa alitukanwa na "mtandao wao" sasa nashindwa kuelewa ni mtandao wa wakina nani? kuna mwana siasa mwenye mkono wake humu au kila mtu anauwezo wa kuchangia hoja ya kweli na ya kujenga?
Ajira Mpya zinapatikana katika ukurasa huu, kama bado huja like bofya hapa kisha like kupokea updates kila mara zinapo tangazwa: https://www.facebook.com/kijiwechawasomi
Ajira Mpya zinapatikana katika ukurasa huu, kama bado huja like bofya hapa kisha like kupokea updates kila mara zinapo tangazwa: https://www.facebook.com/kijiwechawasomi
Ajira Mpya zinapatikana katika ukurasa huu, kama bado huja like bofya hapa kisha like kupokea updates kila mara zinapo tangazwa: https://www.facebook.com/kijiwechawasomi
Nafasi ya Mungu ipo, kwakuwa ndiye aliyenipa uhai, na ndiye aliyenipa ajira. Nilitaka kuwajulisha tu sehemu ambazo ajira mpya hupatikana, ila inabidi muwe na moyo maana nilituma cv mpaka basi lakini wakati ulipo fika mambo yametiki. Ahsante Mungu, Ahsante http://jamiiforums.com, Ahsante...
Napenda kichukua fursa hii kushukuru mtandao huu wa Jamii forums, updates zenu zimenipatia ajira. Napenda kuwashauri wote ku like kurasa hizi muhimu kwa wanao tafuta maisha. Nawatakia kazi njema na usiku mwema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.