Nimecheka kama mazuri hivi. Tukirudi kwenye hitimisho la mleta uzi, ni kweli watoto wanapaswa waongozwe vya kufanya kwenye simu na kuangalia kwenye TV.
Wadau wa biashara ya samaki naombeni msaada wenu. Ninataka kuanzisha bucha la samaki lakini kuna mambo kadhaa sijapata taarifa zake kamili hivyo naombeni msaada wenu.
1. Ninaweza kuwapata wapi kwa jiji la Dodoma?
2. Ni vibali (nyaraka) gani natakiwa kuwa nazo kufungua bucha hili?
Ahsanteni...
Wadau naombeni msaada juu ya hili.
Mwanafunzi wangu anayetarajia kuhitimu kidato cha nne mwaka huu ameniomba nimwangalizie kwenye mtandao namna anavyoweza kuwa referee.
Ameomba kujua kiwango cha elimu kinachohitajika, muda wa kukaa darasani na ada. Kila nikigoogle sipati cha maana hata kwenye...
Umenena mkuu. Siku hizi kila mwenye nafasi anapanga lake analodhani litamsaidia kulinda cheo chake au kupanda zaidi.
Kinachotafutwa hapo ni kuondoa sifuri kwenye wilaya au mkoa bila kujali anachopoteza mwanafunzi kwa kumuachisha baadhi ya masomo yale ya msingi.
Hii ni karma. Huyu jamaa alikuwa na mchumba wake ambaye walisoma wote nursing na walibahatika kupata mtoto wa kike. Kwa bahati mbaya jamaa matokeo yake ya mwisho yakawa na mushkeli hali iliyomlazimu kurudia mtihani na kuchelewa kuajiriwa.
Mchumba wake aliyepata ajira mapema akawa anamsaidia...
Mwanangu naye alianza kusumbuliwa na hili tatizo tangu juzi. Mama yake amemkamlia maziwa machoni na ameanza kupona(hii tiba aliitumia hata kwa watoto waliotangulia baada ya kushauriwa hivyo). Tatizo limehamia kwangu, nitumie dawa gani? Macho yanakuwa mekundu na kujaa matongotongo.
Sasa hivi sio miaka 3 tena ni 4. Hata walioenda masomoni wakiwa wametumikia miaka 4 kasoro kabla ya marekebisho ya sheria hawajapandishwa kwa zile halmashauri ambazo zilichelewa kupandisha kabla ya zuio. Wale ambao walikuwa wamepewa barua zikazuiwa wamepandishwa hata km walikuwa masomoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.