Katika hali ya kuchanganyikiwa leo CCM walipita katika soko la Mwanakwerekwe Z'bar na kuanza kuwauliza wafanyabiashara ndogo ndogo "unataka serikali ngapi?" wakipewa jibu ka Serikali 3 "huwauliza kukiwa na Serikali 3 jee hizi nyanya, vitunguu na viazi huku wanaita mbatata utavipata wapi?".
Ama...
Angalia picha ya mwanzo wakati waasisi wa Muungano wa Tz walipokuwa wanaweka saini mkataba wa Muungano. Na picha ya pili wakati wanakabidhiana nyaraka hizo. Jee hamuoni kuna kitu kimekosekana.
Nianze kwa kuwapongeza wajumbe wote wa Bunge la Katiba waliowakilisha maoni ya wachache,kwa umahiri wa hoja walizozitoa nakutuwakilisha tunaoitwa wachache ingawa tuwengi. Nashauri hapa ukumbini kuwa maoni yote ya wachache yarikodiwe na kutumiwa hapo baadae ili kuwaelimisha wananchi walio wengi...
Kila siku huwa najiuliza suala hilo hapo juu na sijafikia kupata jawabu sahihi. Katika jamii ya watanzania ambao wengi wao ni wauini wa dini mbili kubwa ambazo zinafundisha kuepuka utendaji wa maovu - kwa imani ya kuwa kuna maisha baada ya mauti na kuwa kila binadamu atahukumiwa kwa matendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.