unajua hawa wanaume hiyo ndo kazi yao, sasa wka kuliweka wazi hilo inabidi walifiche kdgo ndo maana wanasema wanawake .......yaani sidhani kama kuna mwanamke na kama wapo basi ni asilimia kama 3% hvi kati ya 100%. ndo huwa wanawanaume wa pembeni katika ndoa, ila wanaume ndo sijui mnaona ndo utajiri
jamani hebu tisomeni na hii habari pia........
hivi hawa polisi wameekwa kwa kulinda au??
http://www.mwananchi.co.tz/habari/3-habari-za-mikoani/7624-polisi-arusha-wawalazimisha-vijana-kufanya-mapenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.