Mbona serikali ina ruka ruka tu!!
Je hili LA UNUNUZI WA NDEGE na HELCOPTER nalo LIMO KWENYE ILANI YA CCM? kama lingekuwamo CCM wasingelipata ushindi wa 80%.
Au baada ya kuongezewa mgawo wa fedha za madini BADALA YA KUZIPELELA KATIKA ELIMU, AFYA, BARABARA, NK SASA MMEAMUA KUSIPELEKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.