joto la dar mnalijua au mnalisikia?
mimi nilikuwa hapo bondeni guest katika shoping zangu dar nilikuja na mke wa rafiki yangu lakini ilipofika asubuhi tukajikuta kila mtu alilala kama alivyozaliwa na tumekumbatiana.
cha muhimu tuombe mungu alete baridi dar.
kuna pesa ilitoka kule anjuan ambayo shimbo alikuja nayo,pia kuna mgao wa escrow kupitia stanbic na bado cha juu cha tril 1 ya bomba la gesi.
una swali?
mimi imenichosha kabisa,atm pale philips ilimeza kadi yangu nikaenda pale nbc wakaniambia nirudi baada ya wiki nikawaambia nasafiri wakaniambia baada ya wiki kupita wataiharibu nikirudi nitoe elfu kumi nipatiwe nyingine.
halafu benk yoyote unayoingia unakuta wastani wa umri ni 45 ujue ni majanga.
mimi nilishaacha hizo baada ya kutendwa miaka mitatu iliyopita nimesahau na sitapenda tena.
sasa hivi nahangaika na watoto wangu nae ahangaike na maisha yake
full stop.
kwangu ukiingia unagongwa kila mtu apit hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.