Kwani hujasoma hilo jedwali la bei za mafuta! Wameandika bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku, kwahiyo unaweza kuona kama wasingepewa hela za ruzuku mafuta yangeuzwaje!?
Unapanda ndege kwenda kucheza mechi za kimataifa halafu unarudi na Matokeo ya kupigwa goli 5 ndani ya dakika 45 za kwanza kuna maana gani ya kujisifu???
Sio kwamba hatuna bahati nao, kumbuka Afrika magharibi Kuna watu wajanja Sana, hawa wachezaji wanaokuja huku wanakuwa uwezo mdogo mno. Ni ngumu mchezaji mwenye uwezo wa Afrika Magharibi Kuja East Afrika, wengi hucheza Nchi zilizo kaskazini mwa Afrika na wengine hutimkia Asia, Ulaya, America na...
Hawa Mikia wana matatizo. Eti wanaacha kufikiria game ya leo namna watavyonyongwa pale taifa dhidi ya red devils wa Afrika wao wapo kuifikiria game na Yanga. Badala ya kutafuta heshima ktk bara la Afrika wew unasubiri heshima ndani ya Tanzania.
Wamezifuata point 3 zao ili wafikishe point 10 katika msimamo.
Halafu mda huo mtakaojichanganya nyinyi kujifanya mnashambia ili mpate goli kumbuka counter attack za waarabu na namna walivyo makini kwenye matumizi ya nafasi wanazopata. Bora na ninyi mpaki basi tu walao mfungwe goli 3.
Mbona hilo halihitaji kujiuliza!!
Boss wa Azam tv na ndie huyo huyo mwenye kadi ya Uachama pale Simba. Unategemea nini???
Nani anapenda aibu zake azijue kila mtu???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.