Habari wapendwa,
Nakumbuka ilikuwa tarehe 14 ya Julai mwaka huu nilivyofanya vipimo baada ya kukaa muda mrefu bila kupata ujauzito, nilienda hospitali kubwa kama tano hapa Dar na nilionana na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake tofauti tofauti ila wote majibu yao yalikuwa sawa kuwa...
Samahani wapendwa, mwenzenu nimechanganyikiwa naombeni ushauri wenu. nilianza kupata maumivu kidogo tumboni sehemu ya uzazi nikaenda kupima hospitalini ni kaambiwa kila kitu kipo sawa ila ni mirija ya uzazi imezibana imeziba karibia na kizazi kabisa. nimerudi leo tena kuonana na Daktari ambaye...
Wapendwa samahani sana kwa usumbufu,
Nina kitu ambacho kwa kweli kinaniumiza moyo wangu sana, sisi kwetu tumezaliwa wawili na wote ni wasichana, dada yangu ni mkubwa kwangu kwa miaka saba hajaolewa na kwa kweli sijawahi kuona yuko na mwanaume ambaye wanadumu kwa muda hata kwa wiki mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.