Search results

  1. S

    Celina Combani kuwa makini na maofisa wanaoinhizia serikali hasara kwa uhamisho

    Waziri naomba uwathibiti hawa wakuu wa idara wanaoingizia serikali hasara ya malipo ya uhamisho wa watumishi ngazi halmashauri kwani hufanya hivyo kwa chuki tu.Serikali ina majukumu mengi ya maendeleo kwa wananchi wake na sio kulipa haya mwezi huu uhamisho mwingi umefanyika sana na malipo...
  2. S

    Waziri wa elimu,Tamisemi mnalielewa hili katika elimu sekondari tz.

    Mawaziri mnaosimamia elimu mnaelewa kuwa maofisa elimu wanatumia madaraka vibaya kwa kuwasumbua walimu kwa kushirikiana na wakuu wa shule?mfano mwalimu akihoji mapato na matumizi ya shule,akitakiwa kimapenzi akakataa huamishwa ili kusababishiwa usumbufu tu na haya yamefanyika mwez huu wa saba...
  3. S

    Tanzania ni masikini kwa kukosa uongozi wa kutoka kwa Mungu

    Nalisema hili kwakuwa mungu katujalia sana tanganyika lwa kutupa rasimali nyingi maji,mbuga,milima,ardhi,watu,amani nk.lkn hakuna maendeleo hii n kwasababu viongozi hutumia ndumba kuingia madarakan hvyo mungu kujitenga nao.
  4. S

    Wabunge kutoka Zanzibar tafuteni bunge la muungano, hili la bara litawatesa

    Nashauri wabunge wa Zanzibar wapambane kuwepo kwa bunge la muungano watakapo heshimika. Hapa kwenye bunge la Tanganyika wanaonekana kama wamepotea njia na wataendelea kunyanyasika. Chukueni mfano bunge la Afrika Mashariki.
  5. S

    Serikali ipunguze gharama za bunge kwa kufuta viti maalum

    Naomba serikal kufuta wabunge wa viti maalumu ili kupunguza gharama za uwendeshaji bunge kwani hawana wanacho saidia sambana hilo wabunge kutoka zanzbr watengenezewe utaratibu maalumu wawe wanaingia bungen tu kwenye mijadala ya muungano na c ya bara.
  6. S

    Ole medeye ni wananchi wa vijiji vipi waliokupa hyo zawadi?

    nauliza hv kwan hatuon hayo maendeleo hata barabara aliyoahidi rais haijajengwa hadi sasa iweje wananchi wampe zawadi?MEDEYE wacha ulaghai.
  7. S

    Ole Medeye ni Wananchi wa Vijiji vipi waliokupa hiyo zawadi?

    Aseme ni wananchi wa vijiji gani wamemtuma kwani vijiji ninavyo vijua havijui kama wana mbunge kwa kutoona tofauti ya maendeleo tangu uchaguzi,barabara alioahidi rais mwenyewe bado sasa maendeleo anayosema ni yapi?
  8. S

    Sherehe za Muungano zinatakiwa kuchangiwa na pande mbili za Muungano?

    wana jf nijuzeni km sherehe ya muungano mwaka huu imechangiwa na serkal ya zanzibar kwakuwa nao n sehemu ya muungano.
  9. S

    hakuna katiba mpya imara bila serikali 3 au 1.

    semen msemavyo lakn bila serkali 3 hiyo siyo katiba mpya bali ni marekebisho ya katiba ya zamani kwan matatizo makubwa tz n muungano na mambo ya uchaguzi mengne yote n ya kawaida.
Back
Top Bottom