Hakuna haja ya kusumbua watu. Kama shule ipo, click alama "i" ambayo kirefu chake info itakupa maelezo ya kutosha. Hiyo alama "i" ipo hapo juu ya maandishi "one cut".
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Kabisa!!
Watu wanashindwa kuelewa kwamba hao mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya wote ni wanachama wa CCM, kimamlaka wapo chini ya Makonda na anayo haki ya kuwahoji muda wowote.
Serikali ipo chini ya chama tawala, huo ndo ukweli.
Ndugu, huo ni upepo tu.
Umeibuka kama walivyoibuka wenzako akina Mr. Pipa, Lwiva, Mubby77, etc. wakaja na ngonjera nyingi wakapotezwa.
Haya ngoja tukupe muda na wewe.
Mimi hadi leo siamini kama betting ni dhambi. Betting ni shughuli halali ya kutumia maarifa kwenye utafutaji fedha pasipo kutumia unyang'anyi, udanganyifu wala kudhuru mtu.
Tusidanganywe na maneno ya watu waliojaribu kufanya betting wakashindwa wakaamua kuita dhambi ili Ku discourage...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.