Search results

  1. S

    Sikukuu ya Mashujaa imekufa?

    Najua bado ipo lakini imekuwa siku ya kusafisha makaburi na kutengeza barabara! https://www.ippmedia.com/sw/habari/jpm-aagiza-zaidi-mil-300-%C2%A0-mashujaa-kujenga-barabara
  2. S

    Sikukuu ya Mashujaa imekufa?

    Why does Tanzania no longer celebrate sikukuu ya mashujaa siku hizi?
  3. S

    Gen. Mrisho Sarakikya aliwahi kuhusishwa na Uhaini?

    Safi. Lakini Captain Alfred Milinga alikuwaje?! Bado yupo hai, au ameuawa na Idi Amin?
  4. S

    Gen. Mrisho Sarakikya aliwahi kuhusishwa na Uhaini?

    Thread hii ni nzuri Kabisa. Sasa nina swali. Vipi Captain Alfred Milinga kutoka Treason trial bado yupo hai? Nimesoma ameuawa na Idi Amin baada ya treason trial. asante!
  5. S

    Gen. Mrisho Sarakikya aliwahi kuhusishwa na Uhaini?

    Thread hii ni nzuri Kabisa. Sasa nina swali. Vipi Captain Alfred Milinga kutoka Treason trial bado yupo hai? Nimesoma ameuawa na Idi Amin baada ya treason trial. asante!
  6. S

    Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

    Ahmed Rashad Ali alikuwa radio announcer ya Sauti ya Cairo miaka 1950s/1960s halafu alirudi Tanzania na akafanya kazi kwa Idara ya Maelezo....
  7. S

    Jambo Usilolijua: Kambona -"Nyerere... Baba wa Taifa"; Hotuba yake tuliyoisahau

    Oscar Kambona alichapisha vitabu vinne ambapo alikaa London miaka 1968-1970: 1. Crisis of democracy in Tanzania 2. Tanzania and the problems of African unity 3. Tanzania and the rule of law 4. Tanzania: la defense accuser: Differences between Oscar S. Kambona and President Julius Nyerere...
  8. S

    Jina la Dar es salaam ni CHAFU, DHAMBI

    Miaka 1960s na 1970s wengi walitaka kubadilisha jina Dar es Salaam kuwa MZIZIMA. Dar es Salaam ilikuwa jina la Sultan Majid kutoka Zanzibar miaka 1860s, na Mzizima ilikuwa jina la Mashomvi na Zaramo kabla ya hii. Sifikiri jina la 'Dar es Salaam' ni chafu au dhambi -- Shomvi na Zaramo walikuwa na...
  9. S

    Tanzania Presidents: Nyerere, Mwinyi, Mkapa and Kikwete

    Sio kweli kwamba miaka ya Nyerere utashtukwa "mhaini" kama ukisema maoni yako hayakubali na Nyerere na ujamaa. Labda vijijini lakin kwenye Dar walikuwa WENGI hawafurahi na ujamaa na naizesheni za nyumba na kadhalika lakini walikwepo huru kusema maneno makali mitaani na hata magazeti kidogo...
Back
Top Bottom