KAZI TUNAYO WATANZANIA. NAKUMBUKA KWETU KUNA MZEE JIRANI TAJIRI WA NG'OMBE 8000.HUCHINJA NG'OMBE NA KUGAWA KWA WANAKIJIJI MARA KWA MARA. MZEE HUYO ELIMU YAKE NI DARASA LA NNE. SASA HIVI WAKO RADHI KABISA WAMPE UBUNGE MWAKA HUU WAMTOE MCHUMI , MHITIMU WA CHUO KIKUU. NAONA KAZI YA UBUNGE WAPIGA...
wale wote walikuwa wanaishi kwa Miradi HEWA ambayo ilikuwa inawanyonya walipa kodi. Ilikuwa wakinufaika wanakuwa na Maisha kama malaika mbinguni wakiwaacha walipa kodi Wengi wakiishi kama shetani sasa kibao kimegeuka .Walipakodi wakifuata njia ya uzima. wapiga dili njia ya kuzimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.