Search results

  1. M

    Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

    Je Wajua? MWAKA 1992 MAKANISA NCHINI TANZANIA YAFUNGA MKATABA USIO NA UKOMO NA SERIKALI YA TANZANIA KUCHOTA MABILIONI KILA MWAKA Makanisa yaliilazimisha serikali kuingia Mkataba mbovu na mgumu kuwahi kutokea TANZANIA na wenye masharti magumu Soma hii Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na...
  2. M

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    WARAKA WA TEC WAGEUKA SEHEMU YA IBADA YA JUMAPILI KABLA dunia haijavaa vazi la ustaarabu mataifa yalikuwa chini ya amri ya Kanisa. Wafalme na viongozi wote wa dola walitakiwa kwanza kufuata amri za Kanisa ndipo wafanye maamuzi mengine ya kidola. Huenda baadhi ya viongozi wa juu hasa Wafalme na...
  3. M

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    WARAKA WA TEC WAGEUKA SEHEMU YA IBADA YA JUMAPILI KABLA dunia haijavaa vazi la ustaarabu mataifa yalikuwa chini ya amri ya Kanisa. Wafalme na viongozi wote wa dola walitakiwa kwanza kufuata amri za Kanisa ndipo wafanye maamuzi mengine ya kidola. Huenda baadhi ya viongozi wa juu hasa Wafalme na...
  4. M

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    WARAKA WA TEC WAGEUKA SEHEMU YA IBADA YA JUMAPILI KABLA dunia haijavaa vazi la ustaarabu mataifa yalikuwa chini ya amri ya Kanisa. Wafalme na viongozi wote wa dola walitakiwa kwanza kufuata amri za Kanisa ndipo wafanye maamuzi mengine ya kidola. Huenda baadhi ya viongozi wa juu hasa Wafalme na...
  5. M

    TEC Ina nguvu duniani kote waraka wao usipuuzwe

    Ndivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako? TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa. Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine. Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
  6. M

    Ushauri kwa Rais Samia Suluhu Hassani kuhusu na TEC na wapingaji wa sakata la Bandari

    Nilitegemea hili ndio liwe tamko la TEC sio uke unjinga walioandika. Kwenye andiko lako kuna busara kubwa sana kuliko mihemko ya udini na ubaguzi. Ubarikiwe sana. Tungekuwa na wakristo kama wewe nchi hii ingedumu na amani hadi mwisho wa Dunia. Maana vita nchi hii itakuwa vita ya kidini na...
  7. M

    TEC hawakujiandaa kuongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan

    Moja kwa moja kwenye mada. Tunao utamaduni wa kupokezana,akitoka Rais Mwislaam ,anaingia Rais Mkristo,lakini huyo Mkristo lazima atoke Kanisa Katoliki. Sasa alipoingia Magufuli kanisa liliona lipo kwenye Comfort zone. Madhaifu yote ya Magufuli hayakuwahi kuonwa na TEC na kanisa la Roma kwa...
  8. M

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Wewe ni Christian Fundamentalism ,umekukia kanisani na kufundishwa chuki dhidi ya dini nyingine,unafikiri unaweza kutumia akili zako kufikiri?
  9. M

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    TEC ndio wanaopromote LGBTQ wataanzaje kupinga wakati wao ndio wanafungisha ndoa?
  10. M

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Udini huwa unatoka Kanisani.yaani akanisa halikujiamdaa kutawaliwa na Mwislaam,mission ilikuwa hijawa Accomplished
  11. M

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Kwani walichinja? Huwa wanarukaruka
  12. M

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Bora kula tende na kuvaa kobazi kuliko kuwa shoga. Maana Makanisa yako ndio huwa yanafungisha ndoa za jinsia moja
  13. M

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Kwamba lengo nikuwa na Rais Mkatoliki unadhani litawezekana? Watu mil 60,wakatoliki hawafiki mil 15,unawezaje kuwashinda watu Mil 45?
  14. M

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Nani kakudanganya
  15. M

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Hii ni kweli kwani tamko lilitolewa kupinga ushoga?
  16. M

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Endelea kujidanganya,Kuanprof Waislaam wanazidi 50 hao ni Maprofesa tu,Aklcha na Maelfu ya PhD
  17. M

    Zitto akiwa Jijini Arusha leo, hakuna kuongea wakati wa kula

    Chadema huwa inakosea inapotumia kanisa kujijenga,maana unapofika uchaguzi CCM huwa inajua jinsinya kudeal na viongozi wa dini ambao dakika za mwisho huwa wanaisaliti Chadema. Uchaguzi wa mwaka 2015 utakuwa Kanisa vs Watanzania
  18. M

    Kuna baadhi ya Viongozi wa Dini Wanataka kumdhoofisha na kumpa hofu Rais Samia

    Wakati wa Kikwete walitia nyaraka hadi wakachoka ,Kikwete aliwapotezea wala hakuwapa Attention wanayoitafuta. Aliwapuuza na akaongoza kwa mafanikio makubwa,hadi siku anaingia Bungeni Bunge zima lilisimama na kusema Im Sorry JK. Maana yake Jakaya alikumbukwa baadavya kuingia Pilato Mkatoliki...
  19. M

    Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

    Waknushe mara mbili,mbina ndio hivyo vifungu Mwabukusi walimtuma apeleke mahakamani nae akashindwa? Kinachofanywa hapa ninudini wala sio vifungu
  20. M

    Kuling'ang'ania suala DP World kuchukua Bandari ni dhahiri kuna Viongozi wamelipwa Fedha

    Tumia japo akiki zako kufikiri vizuri. Ipo hivi Ta zanzania imezungukwa na nchi 6 Malawi,Zambia Congo,Burundi,Rwanda na Uganda. Nchi hizo zinaingiza tani mil 60 kwa mwaka za mizigo kutoka ulaya ,Amerika na China. Nchi hizo zimatumia Bandari nne kuingiza mizigo. Badari hizo ni Darban ya...
Back
Top Bottom