Nilikua nasikiliza DW kupitia radio free leo jioni wakati watangazaji wakisoma habari za corona nchini Tanzania operator akaondoa ile habari akaweka matangazo nilikwazika sana ukizingatia kipindi cha uchaguzi uhuni kama huu ulishafanyika tena.
Sidhani kama kwa nyakati kama hizi mnasaidia au...
Mungu tunaemwabudu atatusimamia na atatupa kiongozi tuliemchagua sio viongozi wanaotokana na miungu kwa damu ya Yesu Jua litasimama.HAKI IKITENDEKA MUNGU ATASIMAMA NA TAIFA
Nilikua nasikiliza DW kupitia redio free kila mtangazaji Sudi Mnete alipokua anatoa taarifa ya hayo mauwaji operators waliopo studio za rfa wanaweka mziki wanakatiza matangazo nikajikuta nacheka sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.