Wakuu nina simu nauza... iPhone 6 mpya kabisa ndani ya box with accesories from Apple Store - Virginia in US, I'm looking for $600 only also i have used iPhone 5C for $300, New in a box Samsung Galaxy Note4 $350 and New Samsung Galaxy S6 $500... Will meet the interested and seerious person...
Hao wote RCO/ RPC si ni malaika mkuu wangu... Bongo sheria ni kama wanaoteshwa tu mara leo hivi mara kesho vile basi ni shidaaa, Tuendelee kumuomba mungu kwa kweli
Nadhani atakapoamua kurudi basi abebe na kopo la rangi nyekundu kabisa maana kwa kumnyonya mwenzake kiasi akaelekea kupoteza fahamu kwa dakika hizo ni zaidi ya hatari haswaaa[emoji848]
Kwa kifupi Nyani Ngabu anaelezea kitu ya ukweli kabisa na wala sio siri maana kuna mmoja nilimshuhudia kwa macho yangu na alifikia nyumba ninayokaa, Haikuchukua muda hata wa wiki 3 akajifungua na baada ya wiki nyingine 5 akasepa zake Bongo... Wapo wengi mnoooo wanaofanya huo mchezo haswa wapopo...
Mkuu nimekusoma vere wele na hizi CODE zako yaani kaa humu humu kwa mwendo wa CODE mwanzo mwishooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakaaya alitegwa ili atafunwe kama Shilole alivyotegwa na kuliwa akiwa Marekani kwa kudanganywa kuwa atafanya nyimbo ya pamoja na J'Lo... Rudi kwenye kumbukumbu, utanielewa vyema tu dogo
Sidhani kama kwa umaarufu walionao Mafikizolo kule Bondeni wanaweza kutinga Bungeni kirahisi rahisi tu... Eti kwenda kutembea, Halafu nini kinafuatia baada ya hiyo ziara[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kavuna alichopanda na ni somo kwa wengine wote wanaotaka kujaribu maana ni balaa sana kwa kweli, Alianzia kwenye bangi na kuelekea kufaidi zaidi na huo unga...
Sasa Mkuu hiviiii huwa unajisikiaje kama kila siku misaada japo inayoonekana ni barabara tu na mengineyo hayaonekani kabisa yaani ukibahatika utakuwa umeona picha wanavyotia saini tu, Jiulize kwanini kila kukicha ni Wachina tu ndio wanaokuja kujenga barabara zetu badala ya mataifa mengine...
Nimejitahidi kuyasoma kwa ubishi ubishi na nilichoona na kuelewa ni kwamba wana madai yao kutoka kiwanda cha chumvi kwa jina la Nyanza Salt HAWAJALIPWA kama kawaida ya Serikali kutowajali wananchi wake mpaka siku za shida kama kwa kipindi hiki cha Uchaguzi... Kila la kheri Mkuu Kiranga
Hiviiiiii hilo ni daraja au kidaraja? Hata magari hayawezi kupishana kabisa kwa kuwa ni 2 ways at least 4 ways will be a good plan na ndio maana foleni kila kukicha. That bridge is total the waste of money and time yaani hakuna la kujisifia zaidi ni ----- mtupu... 4 ways will be great and super...
Tusibweteke na tuongeze umakini kwa hawa vibaka CCM wasije kutudhuru kwenye masanduku ya kupigia KURA mpaka tushuhudie Maalim Seif kwa Zanzibar na Edward Ngoyai Lowassa wakiapishwa... Tuombe mungu maana hawa wabishi waliokengeuka na madaraka wakidhani ni wao tu ndio wenye uwezo na Kila kitu hapa...
Habari za leo wadau wote wa JF... Nahitaji TV flat screen with original remote control, mwenye nayo naomba aniPM hapa hapa jamvini haraka akinifahamisha wapi ilipo, aina na gharama
Kila la kheri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.